Multi-skilled
JF-Expert Member
- Mar 1, 2023
- 802
- 3,048
I will speak facts only.
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERS
View attachment 2564730View attachment 2564731View attachment 2564732
U.S.A Ndio nchi pekee duniani yenye teknolojia kubwa ya vita ukilinganisha na Nchi yoyote Duniani. Ndio Nchi yenye Navy force kubwa yenye teknolojia ya kisasa kuliko nchi yoyote Duniani. Namaanisha kama utaamua kurank nchi zenye navy force kubwa na hatari USA ni 1. Wamewekeza dollar $290 Billion kwenye navy pekee. Hii ni kwasababu wamepakana na Bahari mbili pacific na Atlantic na maeneo yote yameimarishwa kiulinzi.
U.S.A ndio nchi yenye jeshi la anga strong kuliko nchi yeyote duniani budget ya jeshi la anga Air force ni $210 billion, Umiliki wa air platforms zaidi ya 12000 mara 5 ya china na Russia. Hivyo marekani wana teknolojia ya kisasa na kubwa ya jeshi la anga kuliko nchi yoyote.
China inaongoza kuwa na wanajeshi Wengi kuliko nchi yoyote duniani lakini kwa Dunia ya leo wanajeshi wengi si guarantee ya kushinda vita sababu ya teknolojia mpya za kivita.
U.S.A ndio nchi yenye silaha nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Kwa mujibu wa watu wa Gun violence marekani bunduki (za kisasa) ni nyingi kuliko idadi ya watu marekani.
However USA anaweza kuangushwa kiuchumi na kisiasa lakini kwa njia ya INVASION au WAR ni ndoto.
Usiniletee ubishi wa Simba na yanga leta NUMBERS