1. FIFA walipewa rushwa na Russia ili kombe la dunia lifanyike Urusi.
2. Wanamichezo wa Russia wanatumia madawa hawataruhusiwa Olympics.
Daaah kuna vitu vinaleta ukakasi sana hata ukifuatilia historia.
Hizi siasa za Urusi na Marekani lazima atakuja kuumia mtu tu