Rushwa za ngono kwa lecturers vyuoni

Rushwa za ngono kwa lecturers vyuoni

Meizon

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
279
Reaction score
105
Habari zenu wakuu.

Kwa wenye uelewa zaidi juu ya hili tushirikishane namna tunavyo/tulivyo kabiliana nalo.

Kwa mwana chuo yeyote(japo kila sehemu lipo), hatakuwa mgeni na hili tatizo hasa kwa ladies.

Nikisema tamaa nitakosea kwasababu kila mtu anatamaa ila tunatofautiana mipaka, vyuoni dada zetu(wanaojiheshimu) wanapata shida kutokana na ma lecturers(SI WOTE) kupenda kuomba rushwa ya ngono.

My sister ni victim na amejikuta anapewa SAP 4 kisa aligoma kutoa hii rushwa yenye majuto sana.

Now ndio anasoma Bachelor accounting lakini ilibidi awe na degree yake kitambo.

Rafiki zaku wana kazi na familia tayari. Nini kifanyike ndugu zangu?

Humu Jamiiforums wapo wanao lielewa vizuri hili sasa tushirikishane mawazo maana ukiacha swala la tabia binafsi ya mtu, dada zetu wanaojiheshimu wanapata tabu sana toka kwa hawa watu wasioridhika (hata wanawake walioolewa wanaombwa hii kitu.

Leo dada yangu kesho huwezi jua nani next.

Tusemezane wakuu

Ni hilo limenigusa kwa leo, UKIZINGATIA HILI LINA ATHIRI MAHUSIANO YA WATU.
 
fimbo iliyo mkononi ndo iuayo nyoka

Unamaanisha nini Mkuu? yani hilo nalo la kulitetea? ingekuwa vema tungeshirikiana kutafuta njia ya kukabiliananalo na si vinginevo maana mateso tunapata sisi ambao ni dada zenu na mama zenu vilevile
 
tumia mda na nafasi iliyopo ili kupata manufaa.
 
ahsante kwa hii thread nilikuwa naiwazia kitambo sanaaaaaa!!!!!
tusemeni tu ukweli bila kuonea nchi ya tanzania ni ya kixenge!!!
kwa sababu kama raisi anashindwa kuliendesha baraza lake si aachie madaraka!! mimi ila tanzania elimu yake na uongozi wake wa kixenge!!!
nina ushaidi juu ya rafiki yangu amedisco kisa amemgombania demu na lecturer demu kamkataa lecturer mwisho wa siku jamaa kadisco na hii inatokana hakuna mahali pa kuweka haya mashtaka elimu ya juu ni ya udhalilishaji lecturer waxenge sana!!!
ngoja kidogo niweke chaji niwarudie wanajeshi nao pia waxenge wanatabia hizi hizi haonewi mtu ila ni ukweli unawekwa wazi..........!!!!
 
tumia mda na nafasi iliyopo ili kupata manufaa.

changanua kidogo mkuu,unajua ukitendwa na mtenda ndio utajua ubaya wa mtenda na tendo na huwezi nyamaza bali utatenda....mi naelewa inavyo uma maana its my sister. ushauri wako au wazo lako ni muhimu!.
 
Siamini km huu uzi umekosa michango ya kutosha!
mke wa jamaa yng alitakwa na lecturer, daah alikosa raha!
Niliomba kuuziwa kesi, nilivoimaliza sasa! Yule lecturer hatakaa anisahau dawamu!
 
Haiwezekani mtu anyanyasike alafu akae kimya. Naweza kusema either ni woga na kutojiamini, au wengine ndo wanafurahia kuipata nafasi hiyo. Siku hizi kuna njia nyingi, kwa nini asifanye mpango wa kumkamatisha huyo lecturer with evidence ili iwe njia ya kumkomesha
 
Habari zenu wakuu,

Kwa wenye uelewa zaidi juu ya hili tushirikishane namna tunavyo/tulivyo kabiliana nalo.
Kwa mwana chuo yeyote(japo kila sehemu lipo), hatakuwa mgeni na hili tatizo hasa LADIES(wanawake0.Nikisema tamaa nitakosea kwasababu kila mtu anatamaa ila tunatofautiana mipaka,vyuoni dada zetu(wanaojiheshimu) wanapata shida kutokana na ma lecturers(SI WOTE) kupenda kuomba rushwa ya ngono.My sister ni victim na amejikuta anapewa SAP 4 kisa aligoma kutoa hii rushwa yenye majuto sana,saizi ndio anasoma Bachelor accounting lakini ilibidi awe na degree yake kitambo! rafiki zaku wana kazi na familia tayari.Nini kifanyike ndugu zangu? humu jf wapo wanao lielewa vizuri hili sasa tushirikishane mawazo maana ukiacha swala la tabia binafsi ya mtu....dada zetu wanaojiheshimu wanapata tabu sana toka kwa HII mi jitu isiyo ridhika(hata wanawake walio olewa wanaombwa hii kitu! Hadi wamama jamani!!!). Leo dada yangu kesho huwezi jua nani next......Tusemezane wakuu!
Ni hilo limenigusa kwa leo.-UKIZINGATIA HILI LINA ATHIRI MAHUSIANO YA WATU)

Mkuu,tatizo lipo pande zote mbili. Umegusia upande mmoja tu. Kuna wanawake/wasichana hushashawishi ma lecturer kwa ngono kwa sababu ama hawajiwezi kimasomo au wavivu tu wa kusoma hivyo kutafuta njia rahisi ya kufaulu
 
nakutaja ww lectural mwamfu.......... ulichomfanyia dada wa watu mpaka kumtafutia kosa na dada wa watu kaacha chuo kisa ww ?????haina shida mungu anamtetea huku mtaani na ameshaenda chuo kingine ila laana ya kupenda ngona itakupeleka pabaya,maisha mafupi duniani tunapita dada wa watu angemaliza chuo muda sana ila ujue mpaka sasa ananung'unika kwa sababu yako
 
Mkuu,tatizo lipo pande zote mbili. Umegusia upande mmoja tu. Kuna wanawake/wasichana hushashawishi ma lecturer kwa ngono kwa sababu ama hawajiwezi kimasomo au wavivu tu wa kusoma hivyo kutafuta njia rahisi ya kufaulu

Ni kweli kabisa mkuu,ndio maana nikalileta humu ili tufahamishane...sasa tukilenga ile ambayo lecturer anaomba rushwa ya ngono! tufanye nini? afu kiukweli hii ishu imefumbiwa macho maana haijaanza leo...nashindwa kuelewa!
 
nakutaja ww lectural mwamfu.......... ulichomfanyia dada wa watu mpaka kumtafutia kosa na dada wa watu kaacha chuo kisa ww ?????haina shida mungu anamtetea huku mtaani na ameshaenda chuo kingine ila laana ya kupenda ngona itakupeleka pabaya,maisha mafupi duniani tunapita dada wa watu angemaliza chuo muda sana ila ujue mpaka sasa ananung'unika kwa sababu yako

Thanks! pamoja sana.
 
Ipo but sizani ni hadi kupeana sup tano! Coz lecturer unakuta anakufundisha somo moja au mawili sizani kama hilo linawezekana! Na pia kama lina wezekana ange appeal coz wanasahihisha wengine.
 
Back
Top Bottom