Chief Lugina
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 286
- 77
wewe https://www.jamiiforums.com/member.php?u=95379 ni sizitaki mbichi hizi: Wewe umeshindwa Interwiew ama mdogo wako kashindwa sasa unaleta porojo hapa za Ruswa. Ili kuweka kumbukumbu sahihi na kuwaeleza wasiopajua Bully naomba kusema kidogo. Wewe umesema kabla hujamuona HR manager unaacha Mzigo,kwa taarifa yako Bully hakuna ACCESS ya kumuona HR manager wala ofisi yoyote kama wewe siyo mfanyakazi wa pale, tofauti na kampuni/ofisi zingine pale mgodini huruhusiwi kuingia may be unakwenda kufanya INTERVIEW au ni mfanyakazi wa pale, hivyo hoja hiyo ni uongo. Kuhusu kukuta kazi ya mtu wa degree anafanya Form Six, hiyo siyo hoja na tena siyo jambo la kushangaza kwa mgodini. Kumbuka hapa wanachoangalia ni PRODUCTION zaidi, ndiyo maana kuna makaburu hawajaenda shule kabisa lakini wanajua shughuli za mgodini zaidi hata ya ma GEOLOGIST. Yaani kwa sababu wewe umemaliza BSc. MECHANICAL Eng. wakuchukue tu na wamuache VETA ambae ana experiance na MACHINE za mgodini? Hiyo mentality ya ELIMU mgodi ifute kabisa ndugu na wala usitegemee hako ka degree kako katakusaidia kupata kazi Mgodini. By the way Tanzania tuna tatizo la Ajira, so wakati mwingine unatakiwa kupiga mishe ili ufanikiwe otherwise utabaki kulialia tu.