Rushwa, Kujuana, Ukabila katika Halmashauri ya Moshi

Rushwa, Kujuana, Ukabila katika Halmashauri ya Moshi

ambwilikiti

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
204
Reaction score
59
Nimejaribu kufuatilia sana na kushiriki kwa namna moja au nyingine katika michakato mbali mbali ya ajira eidha ya mda au ya kudumu.Mfano tukianza na hili la ajira ya mda ya kuandikisha wapiga kura kwa mashine za BVR ni aibuuu kubwa kwa Halmashauri hii,waliitisha interview ambayo ilikuwa ni kuchapa sentensi mbili kwa sekunde 30,cha kushangaza waliomaliza kabla ya mda hawakuchukuliwa na walioshindwa kumaliza kwa mda ndio walioshinda!!!shame upon them!!!Hata zoezi nyeti kama hili tunaleta ukabila,rushwa na kujuana???Ngoja tuone hatma yake!!Mfano,nilimuona dada mmoja si mtumishi wa halmashauri hiyo akiwa amepata kinyume na masharti ya ajira hiyo ya mda ambayo walitaka mfanyakazi wa muda wa zoezi hilo awe ni mtumishi wa halmashauri hiyo,aliyemsaidia kupata nafasi hiyo ya ajira ni Afisa mtendaji aliyejulikana kwa jina la MARLEY AAKISHIRIKIANA NA WATUMISHI WENGINE WASIO WAAMINIFU(MAJINA NINAYO).

Lakini pia HALMASHAURI YA MOSHI KIMYA KIMYA iliajiri ma afisa biashara ambao ni walimu,nafasi hizo zilimtaka muombaji awe amesomea na amebobea katika fani za biashara lakini kinyume cha matakwa na masharti ya ajira hiyo wakaajili walimu wa book keeping,commerce na science ndio wakapitishwa na kupata ajira hizo kimsingi wengine kati yao walikuwa walimu wa masomo ya science ambapo bado kuna upungufu mkubwa,kwa rushwa na kujuana wakapewa ajira kwa mara ya pili wakati wasiokuwa na ajira wanahangaika bila mafanikio.(rejea walioajiriwa hivi karibuni kitengo cha biashara Halmashauri ya Moshi)

Pia hivi punde Halmashauri ya moshi imetangaza tena ajira mbali mbali,lakini kwa ukiritimba huu wa kikabila,rushwa iliyokithiri ikiwemo ya ngono tutegemee yale yale,wenye sifa wataachwa,waliotoa rushwa ya fedha na ngono ndio watapitishwa kama ilivyotokea kwenye BVR,AJIRA ZA UAFISA BIASHARA NK.

WITO:TAKUKURU MFANYE UCHUNGUZI WA KINA KATIKA SUALA HILI NYETI,USHAHIDI UPO CLEAR,MF.CHOOSE RANDOMLY WALIOPITISHWA KATIKA KUANDIKISHA BVR NINAUHAKIKA ITAKUTANA NA WATU WENGI HAWAJUI HATA KUTYPE KWA SPEED WALIYOTAKA NA HAWANA VIGEZO VYA KAZI HIYO NYETI KWA UJUMLA.PIA KATIKA KITENGO CHA BIASHARA REJEENI WALIOAJIRIWA HIVI KARIBUNI UTAKUTA WENGI NI WALIMU NA HAWANA SIFA YA KUSHUGHULIKIA MABO YA BIASHARA MATOKEO YAKE KUKOSA MBINU ZA KITAALUMA ZA KUKUSANYA NA KUBUNI VYANZO VIPYA VYA MAPATO HIVYO KUIKOSESHA HALMASHAURI NA SERIKALI MAPATO.
 
Wachagga kwa rushwa wanatia kinyaa. Walikua wamemonopolize TRA kama chama chao, Kabla ya Bashe TRA ulikua hupati kazi hadi rushwa ya kuanzia Mil 2, sasa hivi TRA unaingia kwa qualification. wamejazana TRA kama mafisi kwasababu kuna rushwa. Kwenye miji yetu tunawakaribisha lakini ukihamishiwa pale kwao. YELEUwii yaani we acha tu. ofisini full kichagga. Kosea stepu uoe binti yao. Kama wewe sio mchagga taf usioe mchagga, kama unaona urongo jaribu majuto ni mjukuu.
 
Nimejaribu kufuatilia sana na kushiriki kwa namna moja au nyingine katika michakato mbali mbali ya ajira eidha ya mda au ya kudumu.Mfano tukianza na hili la ajira ya mda ya kuandikisha wapiga kura kwa mashine za BVR ni aibuuu kubwa kwa Halmashauri hii,waliitisha interview ambayo ilikuwa ni kuchapa sentensi mbili kwa sekunde 30,cha kushangaza waliomaliza kabla ya mda hawakuchukuliwa na walioshindwa kumaliza kwa mda ndio walioshinda!!!shame upon them!!!Hata zoezi nyeti kama hili tunaleta ukabila,rushwa na kujuana???Ngoja tuone hatma yake!!Mfano,nilimuona dada mmoja si mtumishi wa halmashauri hiyo akiwa amepata kinyume na masharti ya ajira hiyo ya mda ambayo walitaka mfanyakazi wa muda wa zoezi hilo awe ni mtumishi wa halmashauri hiyo,aliyemsaidia kupata nafasi hiyo ya ajira ni Afisa mtendaji aliyejulikana kwa jina la MARLEY AAKISHIRIKIANA NA WATUMISHI WENGINE WASIO WAAMINIFU(MAJINA NINAYO).

Lakini pia HALMASHAURI YA MOSHI KIMYA KIMYA iliajiri ma afisa biashara ambao ni walimu,nafasi hizo zilimtaka muombaji awe amesomea na amebobea katika fani za biashara lakini kinyume cha matakwa na masharti ya ajira hiyo wakaajili walimu wa book keeping,commerce na science ndio wakapitishwa na kupata ajira hizo kimsingi wengine kati yao walikuwa walimu wa masomo ya science ambapo bado kuna upungufu mkubwa,kwa rushwa na kujuana wakapewa ajira kwa mara ya pili wakati wasiokuwa na ajira wanahangaika bila mafanikio.(rejea walioajiriwa hivi karibuni kitengo cha biashara Halmashauri ya Moshi)

Pia hivi punde Halmashauri ya moshi imetangaza tena ajira mbali mbali,lakini kwa ukiritimba huu wa kikabila,rushwa iliyokithiri ikiwemo ya ngono tutegemee yale yale,wenye sifa wataachwa,waliotoa rushwa ya fedha na ngono ndio watapitishwa kama ilivyotokea kwenye BVR,AJIRA ZA UAFISA BIASHARA NK.

WITO:TAKUKURU MFANYE UCHUNGUZI WA KINA KATIKA SUALA HILI NYETI,USHAHIDI UPO CLEAR,MF.CHOOSE RANDOMLY WALIOPITISHWA KATIKA KUANDIKISHA BVR NINAUHAKIKA ITAKUTANA NA WATU WENGI HAWAJUI HATA KUTYPE KWA SPEED WALIYOTAKA NA HAWANA VIGEZO VYA KAZI HIYO NYETI KWA UJUMLA.PIA KATIKA KITENGO CHA BIASHARA REJEENI WALIOAJIRIWA HIVI KARIBUNI UTAKUTA WENGI NI WALIMU NA HAWANA SIFA YA KUSHUGHULIKIA MABO YA BIASHARA MATOKEO YAKE KUKOSA MBINU ZA KITAALUMA ZA KUKUSANYA NA KUBUNI VYANZO VIPYA VYA MAPATO HIVYO KUIKOSESHA HALMASHAURI NA SERIKALI MAPATO.

Acha kudanganya Umma hakuna Halmashauri inayoruhusiwa kuajiri Officers Cadre imeruhusiwa kada za chini tu,Hao walimu unaosema wameajiliwa Mara ya pili sio kweli hakuna utaratibu wa kumwajiri mtu Mara mbili sema inawezekana walimu hao bachelor degree wamesoma Biashara ie Bachelor of Commerce au nyingine inayoshabiana na Hvyo wameomba kubadilishiwa muundo wa Utumishi kwa mujibu wa scheme of service ya wa 2002 pamoja nyaraka mbalimbali zilizopo zinazoruhusu mtumishi wa Umma kufanyiwa (Recategorization) khs hilo la BVR kama unaona hujatendewa haki na una uwezo Muone DED mbona kazi zenyewe hamuwezi mnanga'ng'ania tu. Angalizo uwe unaposti kitu ambacho unakijua sio kukurupuka tu.
 
sawa mkuu,km recategorization utaratibu ndio upo hivyo mlivyofanya???unamnyofoa mtu kwenye kada ambayo inaupungufu????yaani serikali inawasomesha walimu kwa gharama wewe na jopo lako mnawanyofoa na kuwapeleka idara nyingine kinyume na utaratibu!!!Mimi sijaona Halmashauri ya vilaza kama hii,mwisho wenu unakaribia kama sio kufika mwisho!!Msidhani watanzania wa sasa ni wale wa miaka 47!!!walioajiriwa/waliofanyiwa recategorization hapo wote ni walimu tena wa science ambao serikali imewagharamia kwa fedha nyingi,kwa kujuana kwa vile wazazi wao,jamaa zao ama rafiki zao ni wafanyakazi wa halmashauri eti wamefanyiwa recategorizatio,na MKURUGENZI NAE ANARIDHIKA TU!!hivi hiyo dhana ya kuongeza ajira mpya mnaitekeleza wapi!!!??kama nyie kila siku kufanya recategorization???vijana wenye sifa ya kuajiriwa upya watapataje ajira???acheni uchaga,udini,rushwa za ngono!!!LA BVR kuweza ama kutoweza ww sio msemaji wa watanzania,ulienda field ukaona hawawezi???mnaingiza vimemo vyenu vya mahawara wenu ili mtuharibie zoezi la kitaifa ili watu waseme serikali ya KIKWETE NA CCM imefeli???na mmeifelisha kweli kwa staili hii,mnaendekeza njaa eti na nyinyi wafanyakazi wa halmashauri mnajiweka katika zoezi matokeo yake watanzania wanataka kuhudumia watumishi hawapo wapo machame,kibosho nk kny kuandikisha daftari la kudumu kwa BVR!!UPOLE WA FULGENCE MPONJI UTAMPONZA AMA KUIPONZA HALMASHAURI YAKE.

MY TAKE:Tanzania ya sasa si ya zamani,hamna mtu mwenye hati miliki ya serikali na ofisi zake,hata wewe ipo siku utashushwa kama walivyoshushwa wengine!!!
 
wachaga wamezidi,hata mm ni mmachame bt nawaonea huruma ndugu zangu wa mikoa mingine,imekula kwao!!!huku hata kwnye biashara yako km c mchaga sisi hatuji kinywa kwako,wengi wameanzisha umoja wao wameamua kushirikiana wao kwa wao!!!serikali ingerudisha mfumo wa mwalimu kuchanganya wafanyakazi kimakabila na kidini,tatizo ofice nyingi utakuta wafanyakazi karibia wote ni wakabila moja,l
hapo udini na ukabila lazima utakuwepo tu!!!
 
wachaga wabinafsi sana,hata wao kwa wao!!eti nimekatazwa kuoa kibosho kisa mm ni mmachame!!!mrombo anadharaulika katika wachaga wote,yeye ni tabaka lachini ni niwashirikina,mara wachaga hawajui mapenzi eti maliza sha sha nikafungue duka,mara ukichoka funika.......!!!ukipita Rombo ndo hivyo mbo ga za majani hazifanyi kazi tena,wanaimport mbo ga za majani toka Abroad!!!NAPENDA RAISI ATOKE UCHAGANI(MBOWE)
 
DAH KWELI HAW C WATANZANIA,HTA KIWANJA HAWAKUUZII WAKIJUA WEWE C mchaga mwenzao!!Wanachuki na uadui mkubwa sana kwa wenzao,washirikina sana hasa WAROMBO!!ukifika rombo matahira kibao,yaani mtu anamfanya mwanae awe ndondocha kisa yeye awe tajiri????afu kila jumapili wapo makanisani mbutaah!!!!
 
wachaga wamezidi,hata mm ni mmachame bt nawaonea huruma ndugu zangu wa mikoa mingine,imekula kwao!!!huku hata kwnye biashara yako km c mchaga sisi hatuji kinywa kwako,wengi wameanzisha umoja wao wameamua kushirikiana wao kwa wao!!!serikali ingerudisha mfumo wa mwalimu kuchanganya wafanyakazi kimakabila na kidini,tatizo ofice nyingi utakuta wafanyakazi karibia wote ni wakabila moja,l
hapo udini na ukabila lazima utakuwepo tu!!!

Acha chuki ziko zisizo na mbele wala nyuma eti Mmachame mbona unajichaganya kwenye maelezo yake.
Wameanzisha ushirikiano wao we we kinakuuma nini na wewe na wa kwenu usianzishe ushirikiano wenu. Yani uwe mchaga uwalaumu tena kwa ushirikiano wao.
Hata wakiwa office moja shida yako nini? Labda kama wame meet qualifications.
We we ni mpenda majungu una chuki zako binafsi baada ya kukosa nafasi ukaona uje umalizie hasira zako hapo kwa kuingiza ukabila na udini.
Fanya kazi acha majungu we we.
 
kuna jamaa alienda marangu kuoa,sehemu moja inaitwa kiraracha,nikamsindikiza nikacheka sn nilichokiona!!!eti alete pombe pipa 12,mbuzi 2,kondoo mmoja,mguu mmoja wa ng'ombe,blanket 2,khanga za mashangazi walikuwa 9,kamba,alipie kikao cha kuja kwake ie chakula na vinywaji,nk then alipe mahari mil.1.5,jamaa akawambia ntarudi akampiga chini demu japo tayari alishampa mimba,ile hela kwa hasira akaongezea hela kidogo akanunua spacio,na akarudi kwao mbeya akaoa akina atuganile!!mapenzi yenyewe hawajui,shape ndo vile juu wapana chini km wanatembelea mikono!!!!
 
mkuu ajira za BVR ni vichekesho, nilijiandikisha kituo kimoja mwandikaji anatumia zaidi ya dakika 15 kwa mtu mmoja. njoo kwenye mashine sasa jamaa yuko slow hadi unashangaa

Ajira kuletwa halmashauri kumeongeza nafasi ya kujuana zaidi na rushwa ya ngono, mfano mzuri halmashauri ya wilaya ya mpanda-katavi kupata nafasi mazoezi kwa vitendo kama hujulikani tena mwanaume ni mbinde sana.

walitoa nafasi za utendaji kijiji na afisa utumishi kwa mkataba niliicheka sana mkuu, watu wenye sifa wakaachwa kwa lengo la kuwabeba watu flani. haiingii akilini unaweka watu wenye cheti (HRM) nafasi ya afisa utumishi na kuwaacha wenye shahada
kiukweli halmashauri nyingi mkuu zimeoza sana jamaa wanajiona kama miungu watu, kuna haja ya kulikemea hili kwa nguvu.
 
kwani mbona nyerere alizungumzia ukabila na udini hata kwake Mara???yaani kwa vile mm mmachame nitete umachame wakati watanzania wenzangu wanahangaika???mm cn chuki bt naongelea reality???unasema nimekosa nafasi ya nn???i got my own busness,nimejiajiri na nimeajiriwa tayari nitake nafasi ya nn tena???mm nawasemea watanzania wenzangu wengine na uwaonya ndugu zangu UKABILA SIO INSHU!!!zama hizi unaishi kiukabila kabila???ndio maana chama changu CHADEMA kunawakati kinapoteza sifa na wanachama kwa kuwa na element flani za UKABILA(UCHAGA NA UKASKAZINI).
 
Acha huki binafsi ww usipende kuweka ukabila kweny mambo ya kutaka kuonekana bora mbona Moshi kuna afisa watendaji ambao siyo wachagga:what: kama umechoka kalaleee mzeee ujipepeee na panga boy
 
SASA Halmashauri ya moshi wametangaza nafasi za MAAFISA MAENDELEO YA JAMII NA HAO MAAFISA KIJIJI,ukipenda apply,hadi sasa watu wenye ajira washajulikana!!yaani MWANAMKE KWAO LAZIMA ATOE RUSHWA YA NGONO au fedha,ama vyote!!!mwanaume utoe fedha za kutosha!!kuna wakuu wa idara pale ni ngono oriented,rudi kwa hivi viafsa vidogo navyo ni moto wa kuotea mbali!!hapo serikali CCM ndipo inaposhindwa kutawala,imekuwa ni serikali ya mfalme Juha,ipo tu watu wanajifanyia wanavyotaka afu inategemea tuichague maveee!!!!mwaka huu itakula kwao,wao si wanshindwa kusimamia haki!!!
 
wapo wangapi???majority ni wachaga tena hawana sifa,kila siku kuhamishwa hamishwa kwa kukosa sifa!!toa mifano halisi acha mihemko!!!utaachaje kukemea ukabila wakati sasa ukabila na hata udini umeibuka kwa kasi,tunyamaze ili uendelee kukua???hukusikia watu wakilalama TRA walijaa wachaga kipindi Basil Pesambili Mramba akiwa waziri wa Fedha???hukusikia barabara iliyowekwa kiwango cha lami yakutoka njia panda ya rombo hadi rombo haikupaswa kujengwa huko ilifanyika hivyo kwa ushawishi na amri ya Mramba wakati akiwa waziri wa fedha???mifano ipo mingi tu na ndio maana NI LAZIMA TUKEMEE UKABILA NA UDINI(VINAENDANA PAMOJA KWANI UKIPROMOTE KABILA FLANI KWA UPANDE MWINGINE UMEPROMOTE DINI FLANI) so ni lazima tuandike na tukemee haya bila kujali nani atachukia au nani atapenda!!!
 
At first nilianza kukuelewa ulivyoanza na thread yako, ila unavyoendelea kufoka foka bila mpangilio ndio umenitoa kabisaa.

Ungejaribu kusimamia kile ulichoona na unaachokiamini hapo halmashauri ili na wengine wafuatilie wajue kama kuna ukweli wowote. Tatizo hueleweki una nini na wachagga au halmashauri yao. Ndugu yangu una chuki, mbaya zaidi uliipandikiza muda mrefu sasa ndio unatapika nyongo hapa.

Just relax, hutakiwi Kuwa hivyo ndugu! Utazeeka kabla ya muda wako kwa kukakamaa na kukauka kwa chuki zisizo na sababu wala msingi. Maisha yapo tuu na yapo mengine na pengine mazuri zaidi ya hapo Moshi. Chukua hatua, jitafakari na ujitathimin kama unaweza kuishi kwenye mazingira hayo yanayokujaza chuki?

Sent from JamiiForums
 
Back
Top Bottom