Rushwa kubwa ni sababu ya upungufu wa dola kwenye mzunguko

LUS0MYA

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
862
1,097
Nchi yetu imekumbwa na upungifu mkubwa wa fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani na hovyo kuanza kusababisha madhara makubwa iliwrmo kupanda bei za bidhaa hasa inayoagizwa nje kama mafuta.

Ukiangalia miamala inayotumika katika malumbano ya ubinafsishaji wa bandari na tetesi zilizopo za watu kulipwa fedha nyingi kutetea au kupinga uwekezaji basi kuna fedha nyingi ipo majumbani kwa watu badala ya kuwa kwenye mzunguko.

Ruhusa ya biashara ya fedha za kigeni nje ya mabenki bila kuweka udhibiti wowote vinafanya haya maduka ya kigeni kutumika katika kutoa au kupokea rushwa. Juhudi kubwa za maksudi zinahitajika kabla mambo hayajaharibika zaidi.
 
Nchi yetu imekumbwa na upungifu mkubwa wa fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani na hovyo kuanza kusababisha madhara makubwa iliwrmo kupanda bei za bidhaa hasa inayoagizwa nje kama mafuta. U ukiangalia miamala inayotumika katika malumbano ya ubinafsishaji wa bandari na tetesi zilizopo za watu kulipwa fedha nyingi kutetea au kupinga uwekezaji basi kuna fedha nyingi ipo majumbani kwa watu badala ya kuwa kwenye mzunguko. Ruhusa ya biashara ya fedha za kigeni nje ya mabenki bila kuweka udhibiti wowote vinafanya haya maduka ya kigeni kutumika katika kutoa au kupokea rushwa. Juhudi kubwa za maksudi zinahitajika kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Magu alithibiti hili vyema lakini mama mkwe kaja kuwarudisha wengine hadi kurudishiwa mitaji yao iliyopokwa na Jamhuri, kazi ipo
 
Nchi yetu imekumbwa na upungifu mkubwa wa fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani na hovyo kuanza kusababisha madhara makubwa iliwrmo kupanda bei za bidhaa hasa inayoagizwa nje kama mafuta. U ukiangalia miamala inayotumika katika malumbano ya ubinafsishaji wa bandari na tetesi zilizopo za watu kulipwa fedha nyingi kutetea au kupinga uwekezaji basi kuna fedha nyingi ipo majumbani kwa watu badala ya kuwa kwenye mzunguko. Ruhusa ya biashara ya fedha za kigeni nje ya mabenki bila kuweka udhibiti wowote vinafanya haya maduka ya kigeni kutumika katika kutoa au kupokea rushwa. Juhudi kubwa za maksudi zinahitajika kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Uthibitisho please Ili vyombo vifuatilie
 
Elimu zetu ni za hovyo.

Basic principles of economics ni somo lilipaswa kufundishwa kwa kila mtu tena kuanzia ngazi za chini ili watu wawe na uelewa na misingi ya kawaida ya kiuchumi.

Tatizo la Tanzania kukosa Dola sehemu kubwa ni kutokana na kutouza nje kitu chochote zaidi ya kununua nje hadi njiti za kuchokonolea meno.

Kwa hiyo mahitaji ya dola kwenda kununua vitu nje ni makubwa sana kuliko mauzo ya vitu nje ili kuleta dola nchini (inflows and outflows)

Hiyo ndio sababu kuu ya msingi. Ukiongeza na mfumuko wa bei ya vitu marekani(inflation) inasababisha ugumu zaidi kwenye upatikanaji wa dala nchini.

Simply put, no dollar inflows but high demand for dollar outflow.

Na inflows za Tanzania kubwa ni 2, mauzo ya Mazao kama Korosho ambazo msimu wake bado, utalii(royo tua sijui imesaidia nini) ambao bado uko chini na mauzo ya dhahabu.
 
Uthibitisho please Ili vyombo vifuatilie
Vyombo vina wajibu wa kufuatilia viashiria vya aina yoyote kwa usalama wa nchi.in short upungufu wa dola maana yake fedha ipo nje ya mfumo. Na mara zote fedha ikiwa nje ya mfumo lazima inatokana na zao la kihalifu kama rushwa.
 
The only option serikali iko nayo sasa ni kukopa concessional loans, mikopo nafuu ya muda mrefu ili kuleta dola nchini angalau kushusha presha ya mahitaji ya dola nchini. Vinginevyo dola itafika elfu 4 sio muda mrefu.
 
Magu alithibiti hili vyema lakini mama mkwe kaja kuwarudisha wengine hadi kurudishiwa mitaji yao iliyopokwa na Jamhuri, kazi ipo
Dola haipatikani kwa urahisi karibia nchi nyingi afrika
Hata huyo magu unayemsifia asingeweza kufanya chochote ili dola ipatikane labda apore tena pesa za bureau de change .
 
Manunuzi ya ndege kwa malipo ya cash, faini ambazo tumelipishwa na mahakama za kimataifa, ambazo tumelipa cash, na bado kuna kesi za mikataba ya hovyo tulifanya zinaendelea.
Zimeondoka na akiba ya fedha za kigeni kwa mabilioni ya dola.
 
Elimu zetu ni za hovyo.

Basic principles of economics ni somo lilipaswa kufundishwa kwa kila mtu tena kuanzia ngazi za chini ili watu wawe na uelewa na misingi ya kawaida ya kiuchumi.

Tatizo la Tanzania kukosa Dola sehemu kubwa ni kutokana na kutouza nje kitu chochote zaidi ya kununua nje hadi njiti za kuchokonolea meno.

Kwa hiyo mahitaji ya dola kwenda kununua vitu nje ni makubwa sana kuliko mauzo ya vitu nje ili kuleta dola nchini (inflows and outflows)

Hiyo ndio sababu kuu ya msingi. Ukiongeza na mfumuko wa bei ya vitu marekani(inflation) inasababisha ugumu zaidi kwenye upatikanaji wa dala nchini.

Simply put, no dollar inflows but high demand for dollar outflow.

Na inflows za Tanzania kubwa ni 2, mauzo ya Mazao kama Korosho ambazo msimu wake bado, utalii(royo tua sijui imesaidia nini) ambao bado uko chini na mauzo ya dhahabu.
Dola inapatikana Tunauza coal nje na kwa majirani zetu tons and tones na wite wananunua kwa usd.
 
Simply put, no dollar inflows but high demand for dollar outflow.
Hivi our gold, na diamond reserves( ambazo zipo kwenye vaults zetu hapa nchini) ni kiasi gani kwa Sasa?

Tuanze kutumia hiyo reserve yetu kustabilize Uchumi wetu! Kama hatu hiyo reserve basi ni janga kubwa!
 
Elimu zetu ni za hovyo.

Basic principles of economics ni somo lilipaswa kufundishwa kwa kila mtu tena kuanzia ngazi za chini ili watu wawe na uelewa na misingi ya kawaida ya kiuchumi.

Tatizo la Tanzania kukosa Dola sehemu kubwa ni kutokana na kutouza nje kitu chochote zaidi ya kununua nje hadi njiti za kuchokonolea meno.

Kwa hiyo mahitaji ya dola kwenda kununua vitu nje ni makubwa sana kuliko mauzo ya vitu nje ili kuleta dola nchini (inflows and outflows)

Hiyo ndio sababu kuu ya msingi. Ukiongeza na mfumuko wa bei ya vitu marekani(inflation) inasababisha ugumu zaidi kwenye upatikanaji wa dala nchini.

Simply put, no dollar inflows but high demand for dollar outflow.

Na inflows za Tanzania kubwa ni 2, mauzo ya Mazao kama Korosho ambazo msimu wake bado, utalii(royo tua sijui imesaidia nini) ambao bado uko chini na mauzo ya dhahabu.
Huo ndio Ukweli zingine ni porojo
 
Elimu zetu ni za hovyo.

Basic principles of economics ni somo lilipaswa kufundishwa kwa kila mtu tena kuanzia ngazi za chini ili watu wawe na uelewa na misingi ya kawaida ya kiuchumi.

Tatizo la Tanzania kukosa Dola sehemu kubwa ni kutokana na kutouza nje kitu chochote zaidi ya kununua nje hadi njiti za kuchokonolea meno.

Kwa hiyo mahitaji ya dola kwenda kununua vitu nje ni makubwa sana kuliko mauzo ya vitu nje ili kuleta dola nchini (inflows and outflows)

Hiyo ndio sababu kuu ya msingi. Ukiongeza na mfumuko wa bei ya vitu marekani(inflation) inasababisha ugumu zaidi kwenye upatikanaji wa dala nchini.

Simply put, no dollar inflows but high demand for dollar outflow.

Na inflows za Tanzania kubwa ni 2, mauzo ya Mazao kama Korosho ambazo msimu wake bado, utalii(royo tua sijui imesaidia nini) ambao bado uko chini na mauzo ya dhahabu.
Tunakosaje Dola kwenye mzunguko wakati Royal tour ya Mama imejibu huko, naskia Watalii wa kumwaga, au pia hao Watalii wanakuja na pesa za madafu!?
 
Nchi yetu imekumbwa na upungifu mkubwa wa fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani na hovyo kuanza kusababisha madhara makubwa iliwrmo kupanda bei za bidhaa hasa inayoagizwa nje kama mafuta. U ukiangalia miamala inayotumika katika malumbano ya ubinafsishaji wa bandari na tetesi zilizopo za watu kulipwa fedha nyingi kutetea au kupinga uwekezaji basi kuna fedha nyingi ipo majumbani kwa watu badala ya kuwa kwenye mzunguko. Ruhusa ya biashara ya fedha za kigeni nje ya mabenki bila kuweka udhibiti wowote vinafanya haya maduka ya kigeni kutumika katika kutoa au kupokea rushwa. Juhudi kubwa za maksudi zinahitajika kabla mambo hayajaharibika zaidi.
we una kiwango gani ya elimu? Ndio maana mnaambiwa ujinga ni mzigo mzito sana kuubeba
 
Elimu zetu ni za hovyo.

Basic principles of economics ni somo lilipaswa kufundishwa kwa kila mtu tena kuanzia ngazi za chini ili watu wawe na uelewa na misingi ya kawaida ya kiuchumi.

Tatizo la Tanzania kukosa Dola sehemu kubwa ni kutokana na kutouza nje kitu chochote zaidi ya kununua nje hadi njiti za kuchokonolea meno.

Kwa hiyo mahitaji ya dola kwenda kununua vitu nje ni makubwa sana kuliko mauzo ya vitu nje ili kuleta dola nchini (inflows and outflows)

Hiyo ndio sababu kuu ya msingi. Ukiongeza na mfumuko wa bei ya vitu marekani(inflation) inasababisha ugumu zaidi kwenye upatikanaji wa dala nchini.

Simply put, no dollar inflows but high demand for dollar outflow.

Na inflows za Tanzania kubwa ni 2, mauzo ya Mazao kama Korosho ambazo msimu wake bado, utalii(royo tua sijui imesaidia nini) ambao bado uko chini na mauzo ya dhahabu.
nje ya mada
 
Back
Top Bottom