Rushwa inavyotawala mamlaka ya bandari Bukoba

Rushwa inavyotawala mamlaka ya bandari Bukoba

euston Milton

Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
14
Reaction score
13
Malalamiko juu ya viashiria vya rushwa bandari ya Bukoba kastamu.

Usafirishaji wa abiria kutoka Bukoba kwenda kisiwa cha Kerebe kilichopo wilaya ya Muleba kwa kutumia boti inayobeba abilia 50 lakini cha kushangaza wamiliki wa boti wanatumia Rushwa kuwahonga viongozi bandarini ili wazidishe abiria kiasi kwamba boti ya abilia 50 inabeba hadi abiria 128 japokuwa viongozi wapo.

#Tuepukeajali
 
Mazingira ya biashara bongo ni magumu sana. Bila janja janja maokoto utayasikia tu.
 
Tungoje maafa ya mv bukoba mpiya watumishi wa nchi hii akili yao hela tu ndio maana makondo anawaita na kuwaamuru waje wakiwa wanakimbia,sasa wewe Kamugisha ulipo ona hiyo rushwa inayo weza hatarisha maisha ya wakani mtakiawa kwanini ukipiga picha na kumtumia Makonda?
 
Tungoje maafa ya mv bukoba mpiya watumishi wa nchi hii akili yao hela tu ndio maana makondo anawaita na kuwaamuru waje wakiwa wanakimbia,sasa wewe Kamugisha ulipo ona hiyo rushwa inayo weza hatarisha maisha ya wakani mtakiawa kwanini ukipiga picha na kumtumia Makonda?
Platform broo its why nikaamua kutumia jamii forum
 
I remember those days nilienda kisiwa fulani ziwa victoria nimesahau jina lake. Tulikuwa watu kibao ndani ya kile kidude kimetengenezwa kienyeji.

Tulifika usiku wa saa moja , kule ni dunia nyingine kila mtu anaishi atakavyo , wahalifu wakubwa wamejificha kule.

Zaidi nilifurahia supu ya samaki ila kule roho mkononi yaani ishi vizuri na watu usiwe mbabaifu watakupoteza.
 
I remember those days nilienda kisiwa fulani ziwa victoria nimesahau jina lake
Tulikuwa watu kibao ndani ya kile kidude kimetengenezwa kienyeji .

Tulifika usiku wa saa moja , kule ni dunia nyingine kila mtu anaishi atakavyo , wahalifu wakubwa wamejificha kule .

Zaidi nilifurahia supu ya samaki ila kule roho mkononi yaani ishi vizuri na watu usiwe mbabaifu watakupoteza
Amani ipo right now
 
Back
Top Bottom