lushalila
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 283
- 107
Wana jamii forum nimepata taarifa kutoka kwenye zoezi la uandikishaji wa vitambulisho vya taifa mkoani Kagera.
Kama mnavyojua kule ni mpakani na nchi jirani zipatazo tatu hivyo wahamiaji haramu in wengi mno.
Pamoja na taarifa za kuwepo kwa usiri mkubwa kati ya maafsa uhamiaji na watendaji wa serikari, ila habari zilizopo ni kwamba mwenye uraia wa mashaka hakai foleni, ni laki moja tu anamaliza siku moja huku wazawa wakisota kwa zaidi ya Siku tatu kwenye foleni.
Bado haitoshi, anafika mtendaji wa serikari na migambo wanatoza era ili uweze kuandikwa, mfano majuzi wanadai ilikua ni 500 tsh, huna subiri sana.
Zoezi la uandikishaji wa vitambulisho ni zuri mno kwa maendereo ya taifa, ila natumaini ni kwa watanzania tu ndo wawe na vitambulisho kama watanzania , na wageni watambulike kama wageni kama zifanyavyo nchi nyingine.
Pia isiwe sehemu ya kupigia dili kwa maaskari mgambo pamoja na watendaji kwani hii document muhimu sana, ahsante
Kama mnavyojua kule ni mpakani na nchi jirani zipatazo tatu hivyo wahamiaji haramu in wengi mno.
Pamoja na taarifa za kuwepo kwa usiri mkubwa kati ya maafsa uhamiaji na watendaji wa serikari, ila habari zilizopo ni kwamba mwenye uraia wa mashaka hakai foleni, ni laki moja tu anamaliza siku moja huku wazawa wakisota kwa zaidi ya Siku tatu kwenye foleni.
Bado haitoshi, anafika mtendaji wa serikari na migambo wanatoza era ili uweze kuandikwa, mfano majuzi wanadai ilikua ni 500 tsh, huna subiri sana.
Zoezi la uandikishaji wa vitambulisho ni zuri mno kwa maendereo ya taifa, ila natumaini ni kwa watanzania tu ndo wawe na vitambulisho kama watanzania , na wageni watambulike kama wageni kama zifanyavyo nchi nyingine.
Pia isiwe sehemu ya kupigia dili kwa maaskari mgambo pamoja na watendaji kwani hii document muhimu sana, ahsante