Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
wadau nichukue ipi rush 2007 cc 1500 2wd, au kilitime 2005 cc 1800 2wd?
weka na bei tukushauri vizuri
Dogo chujua kili time ndio gari zike kazi kazi sasa hako ka rush ata space ni ndogowadau nichukue ipi rush 2007 cc 1500 2wd, au kilitime 2005 cc 1800 2wd?
RAV 4 ni common car, kama engine yake ni VVT-i chukua hutajutia, pia RAV 4 buti yake in space kubwa ukilinganisha na Rush. Rush zimeanza kuingia sokoni ugonjwa wake bado haujulikani unless upate mwenye nayo, lakini pia Rush must be expensive zaidi ya Rav 4, check it carefully all details mpaka za TRA
Na kwanini Suzuki Carry iliitwa Kirikuu?Kwa nini Rav4 inaitwa kili time?
Jibu swali acha utoto!Na kwanini Suzuki Carry iliitwa Kirikuu?
Kuna shindano silikumbuki ambalo lilidhaminiwa na kilimanjaro na zawadi ikawa hiyo rav 4Kwa nini Rav4 inaitwa kili time?
miss tz kama sijakosea!Kuna shindano silikumbuki ambalo lilidhaminiwa na kilimanjaro na zawadi ikawa hiyo rav 4
wadau nichukue ipi rush 2007 cc 1500 2wd, au kilitime 2005 cc 1800 2wd?
Mtoto babaakoJibu swali acha utoto!
kwahiyo utaitambuaje kama hii rav4 ni kili time mkuu..?Kuna shindano silikumbuki ambalo lilidhaminiwa na kilimanjaro na zawadi ikawa hiyo rav 4
Na hizi Landcruiser Kilimo Kwanza.... sababu ni ipi?Kuna shindano silikumbuki ambalo lilidhaminiwa na kilimanjaro na zawadi ikawa hiyo rav 4