mshaurimkuu
Member
- Jan 23, 2011
- 57
- 30
Mabingwa Salama?
Naombeni msaada wataalamu; nina Rav4 "mpya" (Kili Time ya 2005 ODO reading 63K) inakaribia miezi miwili tangu niitie mkononi kutoka Japan. Ni 4WD; haina gear ya 4WD ila naambiwa ni auto-sense, full-time 4WD.
Hii gari ina matatizo mawili makubwa. Kwanza, accelerator ni nzito kidogo inabidi kukanyaga kwa nguvu. Ukifanya hivyo gari inakamata mwendo. Tatizo ni kwamba, hata kama uko 100kph, ungetegemea ukiachia accelearator, gari ipunguze mwendo taratibu lakini hii sivyo. Inapunguza mwendo ghafla as if umekanyaga breki, unahisi kama gari inavutwa na inasimama ndani ya umbali mfupi sana hata kama uko kwenye mterememko ni hivyo hivyo.
Pili, ukiwa speed zaidi ya 100kph inatoa mlio wa mvumo; inavuma as if kwamba imezidiwa na kwa mfano ku-overtake inabidi nikanyagie kwa nguvu sana kuilazimisha.
Naombeni msaada wataalamu. Shukrani.
Naombeni msaada wataalamu; nina Rav4 "mpya" (Kili Time ya 2005 ODO reading 63K) inakaribia miezi miwili tangu niitie mkononi kutoka Japan. Ni 4WD; haina gear ya 4WD ila naambiwa ni auto-sense, full-time 4WD.
Hii gari ina matatizo mawili makubwa. Kwanza, accelerator ni nzito kidogo inabidi kukanyaga kwa nguvu. Ukifanya hivyo gari inakamata mwendo. Tatizo ni kwamba, hata kama uko 100kph, ungetegemea ukiachia accelearator, gari ipunguze mwendo taratibu lakini hii sivyo. Inapunguza mwendo ghafla as if umekanyaga breki, unahisi kama gari inavutwa na inasimama ndani ya umbali mfupi sana hata kama uko kwenye mterememko ni hivyo hivyo.
Pili, ukiwa speed zaidi ya 100kph inatoa mlio wa mvumo; inavuma as if kwamba imezidiwa na kwa mfano ku-overtake inabidi nikanyagie kwa nguvu sana kuilazimisha.
Naombeni msaada wataalamu. Shukrani.