masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,621
- 14,577
- Thread starter
-
- #41
Wazo zuri sana, lakini wabunge wa kuhamashisha new ideas hatuna.Anzisheni biashara ya kusindika ndizi na mapalachichi na kusafirisha kwenda Uarabuni, Mbona Cuba wanasirisha ndizi kutoka kwao kwenda Ulaya?
Wazo zuri sana, lakini wabunge wa kuhamashisha new ideas hatuna.
Unachosema ni kweli akini inaelekea hujafika Rungwe.Nachokiona msiwalaumu wabunge tu, hata ninyi wananchi mnawaweza kuanza kwa kuandika wazolenu na kuliwasilisha kwa waziri husika, huwa napatwa simamanzi kununu mkungu wa ndu chini ya Tsh 5000 wakati Mkungu huohuo ukiuku Dar bei yake ni above 20K
Kwanza jifunze kuwa mstaarabu neno fala linakupunguzia credit! Hiyo barabara ipo miaka mingi kabla ya atupele tena kipindi hicho busokelo inazalisha kahawa atupele ana miaka mingapi bungeni? Waliopita akina Mwandosya tena waziri mwandamizi hakuiona hiyo barabara? Kwenda na noah umependa mwenyewe kuna bodaboda nyingi tu.Pia elewa ile ni rough road huwezi kuifananisha na lami lazima nauli iwe juu! Huduma muhimu Kama afya maji na elimu busokelo haipo nyuma nakushauri nenda Isange angalia kituo cha afya kinachojengwa halafu leta mrejesho
Cha.muhimimu watu kupanga pamoja shughuli za maendeleo.Hapa nakuunga mkono ndugu Mimi kwetu ni busokelo pale kandete ,huyo fala anaposema hatuna shida namshangaa sana ,sijui ndio hao wanaohongwa elfu mbili kipindi cha uchaguz hata sielew,busokelo tuna matatizo kibao sema kwa majuha hawawez kujua matatizo maana wao wakishiba ugali na lyanyungu basi hakuna shida ,mfano barabara katumba to mwakalel ingeboreshwa nauli ilitakiwa iwe 2000,alafu usafir ni shida sana watu mnapangwa kwenye vinoa kama ndiz ,pia watumishi kufuata mshahara hadi rwangwa au tukuyu mjini ASA unasemeje kule hamna shida?wakulima wanalima SNA viazi ila shida Barbara zikiwa mbovu wanalazimika kuuza gunia had elfu kumi alafu fala mmoja unasema hatuna shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau mananasiLabda huko kwenu lakini kwetu busokelo mambo safi tunakunywa tunalala tunaamka tunachuma chai, tunauza maziwa kwa asas tunapata pesa wewe ulitaka tununue ndege?
Hahaha, hii kali, hili lina ukweli wowote ule ?Ataiba, Wanyakyusa wanaroho ya ubinafsi na dharau wanajiona wao ndo Kabila superior kwahiyo wanahaki ya kutawala makabila mengine, hata ukiangalia namna wakati wa kukata mkoa makabila mengi yaliyataka kwenda mkoa Wa Songwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa nimejiuliza sana hili swali kuhusu Wahaya na Wanyaki. Lakini kama ulivyoniambia Mind-Set ndiyo tatizo kubwa.Unajua mkuu, kabla ya kujitokeza kuwaongoza watu kuna kazi kubwa ya kufanya. Kazi hiyo si tu kujinadi ili kuwashawishi watu wakuchague bali ni kuwa shape aina ya watu ambao ningependa kuwaongoza.
Binafsi ninafahamu vizuri sana changamoto za kule na nini kifanyike, lakini ningependa kwanza watu wenyewe wayajue mahitaji na changamoto zao na vipaombele vyao. Sihitaji mimi eti ndiyo niende nika waambie kuwa nitawafanyoa hivi na vile bali wao wainuke na kuziorodhesha changamoto na mahitaji na waseme tunataka mtu atakayetufanyia haya. Hapo mimi ndiyo nitajitokeza kuiomba hiyo kazi kwa kuwaambia haya wayatakayo nitayafa vipi na kwa timeline ipi kwa support kutoka wapi, hiyo ndiyo jamii ninayotamani kuiongoza. Watu ambao watanihiji au watakuja kunihoji kama sitatimiza mahitaji yao, lakini si watu ambao wataishia kulalamika.
Lakini kwa mindset za sasa hivi za kutaka kuahidiwa watafanyiwa nini, kwa kweli sipo tayari kujitokeza kuwaongoza watu wa aina hii.
Kwa sasa acha niendelee kuwa shape namna ya kuzitambua chsngamoto zao na kuzi present pia namna ya kuondokana na tabia ya kusubiri kuahidiwa.
Kwetu Busokelo, sijawahi sikia updates za mbunge wetu! Ila SH Amon ni bora hata naona jina lake kwenye biashara zake!
Hayo ndiyo mawazo ya kimaendeleo tunayoyataka siyo kukaa unaponda tu viongozi mitandaoni. Mimi nina hekari mbili za miparachichi ya kisasa Kule next season naanza kuvuna rasmi na soko ni la uhakika, kuna halmashauri zina hali mbaya hapa nchini hata huduma za kawaida za kijamii ni kitendawiliUmesahau mananasi
Ila mkuu utajikiaje siku mbunge wako akitafuta mfadhili aweze kujenga kiwanda cha juisi ila tupandishe thamani ya matunda yetu hapo busokelo
Si jimbo litakuwa kubwa sana ??rungwe yote ifanywe jimbo moja kuanzia kyela mpaka busokelo halafu apewe Tulia Akson muone maendeleo ya kweli,
KabisaNi aibu sana Rungwe kuchagua mbunge duni kama Sauli Pataya , tena kumtangaza kwa njia ya mauaji !
Hahaha, hii kali, hili lina ukweli wowote ule ?
Viongizi wetu bubu na mabomu ya mkono tutaendelea kuwananga popote pale kama hawafanyi kazi watarajiwayo kufanya.Hayo ndiyo mawazo ya kimaendeleo tunayoyataka siyo kukaa unaponda tu viongozi mitandaoni. Mimi nina hekari mbili za miparachichi ya kisasa Kule next season naanza kuvuna rasmi na soko ni la uhakika, kuna halmashauri zina hali mbaya hapa nchini hata huduma za kawaida za kijamii ni kitendawili
Tukuyu-bujela-ijigha masukulu hadi kyela.. barabara na huduma zingine za jamii zina hali mbaya.Viongizi wetu bubu na mabomu ya mkono tutaendelea kuwananga popote pale kama hawafanyi kazi watarajiwayo kufanya.
La kwanza barabara ya kufungua wilaya kimaendeleo.
Katumba~Lwangwa ~Itete~Mbambo~Masoko~ Tukuyu barabara hii ni kilio cha miaka nenda rudi.
Wabunge wetu kimya utafikiri nao ni watazamaji tu.
Kuhamasisha maendeleo siyo kazi ya wabunge. Kama mnasubiri masihi ashuke awahamasishe basi mtasubiri sana sana. Rungwe na Tukuyu kwa nilivyoona haraka mbali na kilimo, mnaweza kuanzisha shughuli za viwanda vidogo vidogo kama alivyosema mkuu kapalamsenga.Wazo zuri sana, lakini wabunge wa kuhamashisha new ideas hatuna.
Ngoja niwaache Wahaya, niwaongelee Wanyakyusa. Wanyakyusa ni watu wa kusaidiana ila si watu wa kunyanyuana. Wanyakyusa (wanaoishi nje ya kwao) husaidiana kwa tahadhari sana, anayekusaidia huwa makini kuhakikisha hauji kumzidi hapo baadaye na ikitokea ukaonyesha mwekekeo wa kumzidi basi anaweza akakuanzishia tifu from no where, mara upo Pol8si mara Mahakamani. Hao ndiyo Wanyakyusa wa ugenini.Nimekaa nimejiuliza sana hili swali kuhusu Wahaya na Wanyaki. Lakini kama ulivyoniambia Mind-Set ndiyo tatizo kubwa.
Mkuu nafikiri siasa siku hizi ni pesa zaidi. Mfano mbunge wa Rungwe(Saul) ni mtu Tajiri, wa Busokelo huko naye si haba. Kingine we mwenyewe kuna siku ulisemaa umeacha kujihangaisha na matatizo ya Tanzania🙂, system sucksSasa watu kama wewe, masopakyindi ,Red Giant kwanini msiende kufanya mambo huko kiongozi ?? Kama leo hii Wanyakyusa mkiamua kurudi kejenga kwenu, Rungwe itafika mbali mno maana kama kusoma wengi wenu mmesoma sana.