GE2025 Rungwe aongoza kikao cha viongozi wakuu wa CHAUMMA

GE2025 Rungwe aongoza kikao cha viongozi wakuu wa CHAUMMA

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wakuu!

Mzee Rungwe anaendelea kukisuka Chama huko!

==

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa ameongoza kikao cha viongozi wakuu wa chama hicho, kilichofanyika ofisi za makao makuu ya chama hicho Kinondoni, Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 7, 2025.

1751898183664.png
Kikao hicho kimefanyika ikiwa siku mbili zimepita tangu sekretarieti ya chama hicho kujifungia mkoani Dodoma kujadili mambo mbalimbali ikiwemo uandaaji wa ilani itakayonadiwa na wagombea wao kwenye kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

1751897931807.png
 
Wakuu!

Mzee Rungwe anaendelea kukisuka Chama huko!

==

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa ameongoza kikao cha viongozi wakuu wa chama hicho, kilichofanyika ofisi za makao makuu ya chama hicho Kinondoni, Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 7, 2025.

Kikao hicho kimefanyika ikiwa siku mbili zimepita tangu sekretarieti ya chama hicho kujifungia mkoani Dodoma kujadili mambo mbalimbali ikiwemo uandaaji wa ilani itakayonadiwa na wagombea wao kwenye kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Ubwabwa tutafinyia wapi?
 
Wakuu!

Mzee Rungwe anaendelea kukisuka Chama huko!

==

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa ameongoza kikao cha viongozi wakuu wa chama hicho, kilichofanyika ofisi za makao makuu ya chama hicho Kinondoni, Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 7, 2025.

Kikao hicho kimefanyika ikiwa siku mbili zimepita tangu sekretarieti ya chama hicho kujifungia mkoani Dodoma kujadili mambo mbalimbali ikiwemo uandaaji wa ilani itakayonadiwa na wagombea wao kwenye kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Screenshot_20250703-140259~2.png
 
Chama cha matapeli...ishi nao mbali ewe mtanganyika.
 
Wakuu!

Mzee Rungwe anaendelea kukisuka Chama huko!

==

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa ameongoza kikao cha viongozi wakuu wa chama hicho, kilichofanyika ofisi za makao makuu ya chama hicho Kinondoni, Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 7, 2025.

Kikao hicho kimefanyika ikiwa siku mbili zimepita tangu sekretarieti ya chama hicho kujifungia mkoani Dodoma kujadili mambo mbalimbali ikiwemo uandaaji wa ilani itakayonadiwa na wagombea wao kwenye kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Hapo watafanya copy & paste ilani ya cdm. Naona Rungwe ameendelea kukomaa hataki kuwaachia wahamiaji haramu wenye ajenda ya siri. Kimsingi Rungwe alitakiwa akae pembeni, hao wahamiaji haramu waendelee na mipango ya TISS.

Rungwe ni mtoto wa mjini hivyo atahakikisha kila sent inayoingizwa anafaidika nayo, natabiri watakuja kuvurugana sana kwenye hii project. Nakumbuka hata ACT hiyo hali ilitokea, kuna jamaa anaitwa Limbu alitaka kumgomea Zito, wakati Zito ndio alikuwa mmiliki wa ACT, na mchongo mzima alikuwa amepewa na kina JK, Membe, Mwigulu nk.
 
Hawa jamaa Ilibidi kwenye kikao chao ubwabwa uwe kama maji yanapokuwepo kwenye vikao vya wengine
 
Wakuu!

Mzee Rungwe anaendelea kukisuka Chama huko!

==

Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa ameongoza kikao cha viongozi wakuu wa chama hicho, kilichofanyika ofisi za makao makuu ya chama hicho Kinondoni, Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 7, 2025.

Kikao hicho kimefanyika ikiwa siku mbili zimepita tangu sekretarieti ya chama hicho kujifungia mkoani Dodoma kujadili mambo mbalimbali ikiwemo uandaaji wa ilani itakayonadiwa na wagombea wao kwenye kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.

Hakuna kukimbia uchaguzi na hakuna wa kuzuia uchaguzi
 
Back
Top Bottom