Rungu la TRA lafika BAKWATA, yapewa siku saba kuwasilisha nyaraka

Hivi taasisi kama kama BAKWATA haiwezi kuwa inaagiza magari 8 kila mwaka kwa ajili ya shughuli zake?
Kwa hesabu ya haraka (2006-2015) walikuwa wanaingiza wastani wa magari 8 kila mwaka.
Kitu gani kinaitisha TRA kuhusu ukweli wa maingizo hayo?
Japo pia ni jambo jema kujiridhisha kama taasis inayohusika na misamaa ya kodi ili isitumike vibaya.
Ni mategemeo yangu kuwa nyaraka hizo zitawasilishwa maana kama taasisi vitu vilivyoombwa ni vitu vya kawaid ambavyo huwa kwenye records zao muda wote.


Kuwa mpole ndugu hii ni zxamu yetu, Mimi naomba wakimaliza hapo Tuingie kwenye makanisa na tasisis zake.
 
Vipi Taasisi za dini zingine na misamaha mingine?
Magu anaanza na vitengo vya CCM kwanza akimaliza huko, atatupia jicho huko na akiona majipu huko atayatumbua tu. Anatoa muda kwa hao ili wajitayarishe na wafanye usafi.

Magu amesema anachukia unafiki na ni msema kweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Safi sana,kuna jamaa mdogo wake mama Salma alipiga sana cement kwa mgongo wa bakwata.Hata haya malori itakua ni yeye
Nyie ndio wale wanafiki serikali inawatafuta.
Km ulikuwa na hakika na haya unayoandika hapa kwanini usipeleke ripoti TRA badala yake unakuja kulalama hapa ka mke aliyefunia mumewe na mke wa jirani.

We kweli bongo zimelala
 
Ongezeko kubwa la maombi. "Ongezeko kubwa " ni kuanzia magari mangapi kwa mwaka? Walitegemea maombi mangapi?

Na kama yangekuwa maombi ni machache mngeomba documents za kuthibitisha matumizi ya magari? The unmistakable message hapa ni kwamba ukitaka kuwapiga TRA nenda nao mdogo mdogo. In other words, TRA huwa hawahitaji supporting documents mpaka ukizidi! Huo nao ni uozo TRA.
 
Kuna mambo ya kuchefua kwenye hili suala:-
1. BAKWATA iliandika barua october 19, barua inajibiwa takribani mwezi mmoja baadae...taratibu za serikali zinadai majibu yatoke ndani ya siku saba.
2. Barua imekuwa misqouted kuwa ni ya mwaka 2025. Huu si utendaji makini
3. BAKWATA ina matawi kila wilaya, kama wakiamua kila wilaya ipate gari, hayo magari 82 ni kitu gani?
4. Magari ya BAKWATA yamesambaa nchi nzima, hizo details inawezekana kuzipata ndani ya siku 7?
Conclusion: Huyu jamaa alikuwa anafanya kazi kwa mazoea, barua ya watu aliiweka kapuni. Hiki alichokiandika ni kutaka kujinusuru. Nafikiri apigwe tu.
semitrela yamsikiti munabebea nini?
 
Nimegundua kuna makosa sana mengi katika barua haswa tarehe

Kama hiyo barua mwaka 2025 badala ya 2015

Huko makazini waweke tabia ya kumpa mtu mwingine asome barua kuona kama kuna makosa.

Kama kuna kesi mahakamani na tarehe kukosewa ni tupilia hukooo kesi.

Hii tabia ya kuandika bila kurudia kusoma au kuomba mwingine asome ni mbaya.

Inaonekana kila mtu anaogopa na kupaniki na kusahau kwa kuchemsha katika barua.
 
Hivi taasisi kama kama BAKWATA haiwezi kuwa inaagiza magari 8 kila mwaka kwa ajili ya shughuli zake?
Kwa hesabu ya haraka (2006-2015) walikuwa wanaingiza wastani wa magari 8 kila mwaka.
Kitu gani kinaitisha TRA kuhusu ukweli wa maingizo hayo?
Japo pia ni jambo jema kujiridhisha kama taasis inayohusika na misamaa ya kodi ili isitumike vibaya.
Ni mategemeo yangu kuwa nyaraka hizo zitawasilishwa maana kama taasisi vitu vilivyoombwa ni vitu vya kawaid ambavyo huwa kwenye records zao muda wote.
Chona una mtazamo mzuri ila unaoficha ukweli falni hivi, TRA SI MTU AU KAKIKUNDI CHA WATU TU, wanajua wanachokifanya ila cha maana hapa wasiishie tu BAKWATA, waendelee hadi kwenye taasisi nyigine za dini kama zakilokole kikatoliki kianglikana nk, Hakika utaona wanavyojinufaisha kwa kivuli cha Mungu.
 
Hakuna wenye misamaha mingi ya Kodi kama MAKANISA hapa Nchini.
Kila ukikata kona Unakutana na Gari la KKKT dayosisi blah blah blah..
Halafu madereva wake wote matumbo makubwa ka Mkapa.
We unaendesha gari la kanisa Kitambi umepata wapi?

Halafu unakuta magari yamepakia majani ya Ng'ombe au Wapiga mchiriku kwenye maharusi.

Kanisa na Mchiriku wapi na wapi?

Mara ukute zinapeleka Watoto mashule.
Ukiuliza unaambiwa hawa ni watoto wa mapadri.
Kwani Mapadri toka lini wakawa na watoto wakati Kuoa ni Marufuku?

Huu msako lzm tuone unafika huko.

Hawa wakichunguzwa Lzm Mapadri wengi wafikishwe kwa Pilato.
 
Naomba wassishie hapo tu, wasonge na kweny taasisi nyingine tu, watavina haki sana maana kuna watu wanachezea serikali kwa kivuli cha MUNGU.
 
Hivi taasisi kama kama BAKWATA haiwezi kuwa inaagiza magari 8 kila mwaka kwa ajili ya shughuli zake?
Kwa hesabu ya haraka (2006-2015) walikuwa wanaingiza wastani wa magari 8 kila mwaka.
Kitu gani kinaitisha TRA kuhusu ukweli wa maingizo hayo?
Japo pia ni jambo jema kujiridhisha kama taasis inayohusika na misamaa ya kodi ili isitumike vibaya.
Ni mategemeo yangu kuwa nyaraka hizo zitawasilishwa maana kama taasisi vitu vilivyoombwa ni vitu vya kawaid ambavyo huwa kwenye records zao muda wote.

Uko sahihi mkuu. Labda tu TRA wanataka kujiridhisha kuwa hakuna watu binafsi wanatumia kivuli cha BAKWATA kujiingizia magari bila kodi. Natumaini zoezi hili halitaishia bakwata tu bali hata kwenye makanisa na tasisi zingine za dini.
 
wamo mkuu sasa wameamua kujitoa akiri,wangine wanasema sasa wanatembea kifua mbele.

Kuna mmoja ameamua kukomaa na JPM mwanzo mwisho,yeye kila siku anaibua uzi mpya wa kumponda Magufuli ilihali wakati wa kampeni alikuwa anamsifia!
 
Kuna ujanja ujanja sana kwenye hizo Tasisi za dini.

Mimi kama muislam wala sitetei kama kweli uozo huo upo.

Na wasiishie hapo waende hadi kwenye Taasisi za makanisa.
 
Back
Top Bottom