1.Sikwambii ukweli kuhusu mambo yangu.Mpaka kuwe na ulazima.
2.Sioni umuhimu wa kujieleza kuwa Mimi ni nani,Nina Nini,historia yangu,Ninafanya nini.Labda kuwe na ulazima mathubuti wa kufanya hivyoo.
3.Nikihisi una unafiki juu yangu Nina ku crush mazima.
4.Mimi ndiye ninae jijua( Wewe unaniona tu),I don't care Kwa utayo sema kuhusu Mimi au jinsi utakavyo nichukulia.