WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 930
Hii sheria ina hatari sana kwa wapinzani tu na itapelekea kuhofisha wanamabadiliko wote.
-kama mnanibishia mtaja nieleza!
-kama mnanibishia mtaja nieleza!
ni kwanini iwe akoshateliwa kuwa mgombea?kwanini isiwe akishashinda ?
waanze na Meya wa Kinondoni ambaye ni mfanyakazi wa TRA kwanza..
Wana JF,
Napata shida sana kujua tunaposema ni marufuku kwa mtumishi wa serikali kushiriki siasa wakati wako watumishi wa serikali wanaoshiriki siasa za chama tawala wengine tena hata bila kificho hasa huu wakati tunaelekea uchaguzi mkuu oktoba 25, 2015.
Huku kwetu Jimbo la Rungwe, mkuu wa wilaya Zainabu Mbussi, amekua mstari wa mbele katika kuhakikisha;-
1. Mgombea wa CCM anayemtaka yeye pamoja na kundi lake anapita katika mchakato wa kura za maoni, kuanzia
udwani katika kata zote , hadi ubunge wa jimbo la Rungwe.
2. Kudhoofisha nguvu ya upinzani (hasa Chadema maana upinzani ni Chadema) kwa kuingilia michakato yao ya kupata
wagombea ili wapate wagombea dhaifu, hii alijaribu kata ya Kyimo baada ya kuona waliyemchakachua katika kura
za maoni kahamia Chadema.
Lakini nayeye pia akiwa mtumishi wa serikali, amekuwa akiwatisha watumishi wenzake wa serikali wanaoshiriki siasa za upinzani. So where is the fair ground of this game politics, for those who are civil servants?
PoleMimi ni mtumishi wa uma, walisikia kuwa ninauhusiano na MTU mmoja wa chadema, niliitwa kwa mkuu wa wilaya, DED na TIS kwa mahojiano. Niliambiwa nipepoteza sifa za kuwa mtumishi wa uma, je huyu ameteua makada wa chama itakuaje? Time will tell.
Mnapenda sana kuzunguka huku na kule lakini tatizo ni kwamba mmerithishwa na mamvi. Tokea muanze kuzungusha mikono hamtulii tenaBaada ya mh rais kuteua makada wa chama chake kuingia kwenye utumishi wa umma, na kuteua watumishi wa umma kwenye vyeo vya kisiasa maana yake ni kwamba lile zuio la kuwakataza watumishi wa umma kutojihusisha na siasa limetenguliwa rasmi, hawa wanasiasa walioingizwa kwenye utumishi wa umma kwa sababu ya ukada wao ni lazima watafanya siasa mahali pa kazi, maana yake kuanzia sasa tutegemee kupata huduma ofisi za umma kwa misingi ya vyama.
Lakini vilevile kuna watumishi wa umma wameteuliwa vyeo vya kisiasa kama ukuu wa mkoa na wilaya hawa nao wataenda kufanya siasa ikiwemo kuingia kwenye vikao vya vyama vyao.
Jambo pekee linalo nisikitisha ni rais kukataa siasa ili hali yeye anafanya siasa, naiona Tanzania ya viwanda.