Ruhusa ya kwenda kusoma.

Kuna waraka ulikuwepo kuwepo unasema
Degree kwenda masters unapewa asilimia 90 ya mshahara
Diploma kwenda degree inatakiwa uchukue likizo ya bila malipo
Sijui kama ni kweli kahakikishe kwa mwajiri wako
 
Hizo ni tetesi za mtaani, zipuuze; wewe nenda shule na haki zako utapata kwa mujibu wa standing order kama kawaida
 
Back
Top Bottom