RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,588
- 1,859
duu ameokoa jahazi udsm hawatamsahauKazi nzuri Magu, 2020 si mbali kuna watu watatoa kila aina ya visingizio
hostel nzuri sana yaani kama ulayaSafi sana Magufuli
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imeruhusu hostel mpya za chuo kikuu cha Dar es salaam, kuanza kutumika kuanzia wiki ijayo.
Kwakweli hostel ni nzuri sana na ndani pia wamepatengeneza vizuri sana.
Nasikia zitazinduliwa mwezi huu na chuo walikuwa wanapendekeza ziitwe Magufuli Hostel.
Viva JPM.
Chanzo: TBC
Huyo hakiwa Engineer ila Mpiga Dili upande we ujenziKuna injinia feki alikuja humu na kusema nyumba zitaanguka kabla ya kumalizika,na akaahidi kuja siku chache baade na vithibitisho lakini kayeyuka
Alikuja na mbwembwe akidai atashusha gharama,sijamuona tenaHuyo hakiwa Engineer ila Mpiga Dili upande we ujenzi
Yule alikuwa injinia feki au alikuwa na vyeti kama vya makondaKuna injinia feki alikuja humu na kusema nyumba zitaanguka kabla ya kumalizika,na akaahidi kuja siku chache baade na vithibitisho lakini kayeyuka
We jamaa bhana,[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mambo yote ni muhimu yakapewa nafasi sawa,,haya na yale ya DAUDI BASHITE,na yale ya kunajisiwa kwa sheria!Mambo haya ndiyo yanapaswa kupamba mitandao ya kijamii.
Kwani zimejengwa kwa pesa zake za mfukoni??Mambo haya ndiyo yanapaswa kupamba mitandao ya kijamii.
Hapa ni Bashite tu hadi atuwekee vyetMambo haya ndiyo yanapaswa kupamba mitandao ya kijamii.
TBC ndio kitu gani hicho?Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi imeruhusu hostel mpya za chuo kikuu cha Dar es Salaam, kuanza kutumika kuanzia wiki ijayo.
Kwakweli hostel ni nzuri sana na ndani pia wamepatengeneza vizuri sana.
Nasikia zitazinduliwa mwezi huu na chuo walikuwa wanapendekeza ziitwe Magufuli Hostel.
Viva JPM.
Chanzo: TBC