Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
Kuanzia sasa kila mtumishi wa serikali anayetaka kusafiri nje ya nchi, anatakiwa kupata kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi, ofisi ya Rais, Ikulu, kupata fomu "TFN 773", maombi hayo yawe yamemfikia wiki moja kabla ya safari.
Mtumishi wa serikali atakayesafiri nje ya nchi bila kupata kibali na kuwa retrospective approval" kitatolewa kama kuna dharura na kinaweza kutolewa kwa njia ya simu.
Pia maombi yatapelekwa kwake sio kama formality, bali yatahitaji maamuzi kabla ya kibali kutolewa.
My Take:
1) Chief Secretary wa Ikulu ataweza ku deal na maombi yote ya Wafanyakazi wa Serikali ili wapate majibu katika wiki moja kama anavyosema? Sina hakika kama hili litawezekana hasa ukizingatia kwamba serikali imesambaa kutoka Kasulu hadi Nyasa!
2) Swala la kutoa vibali kusafiri nje ni priority kiasi hicho hadi liende kwa Katibu Mkuu? Hakuna mambo mengine ya maana zaidi katika kipindi hiki ambacho nchi ina lundo la matatizo?
3) Zoezi hili linakusudia kuwabana wafanyakazi wa ngazi ipi? Ni wazi kwamba wanaosafiri zaidi ni wakubwa wenyewe, kwa nini linawabe hata wadogo wanaosaffiri mara moja kwa Mwaka?
4)....
5)
Mtumishi wa serikali atakayesafiri nje ya nchi bila kupata kibali na kuwa retrospective approval" kitatolewa kama kuna dharura na kinaweza kutolewa kwa njia ya simu.
Pia maombi yatapelekwa kwake sio kama formality, bali yatahitaji maamuzi kabla ya kibali kutolewa.
My Take:
1) Chief Secretary wa Ikulu ataweza ku deal na maombi yote ya Wafanyakazi wa Serikali ili wapate majibu katika wiki moja kama anavyosema? Sina hakika kama hili litawezekana hasa ukizingatia kwamba serikali imesambaa kutoka Kasulu hadi Nyasa!
2) Swala la kutoa vibali kusafiri nje ni priority kiasi hicho hadi liende kwa Katibu Mkuu? Hakuna mambo mengine ya maana zaidi katika kipindi hiki ambacho nchi ina lundo la matatizo?
3) Zoezi hili linakusudia kuwabana wafanyakazi wa ngazi ipi? Ni wazi kwamba wanaosafiri zaidi ni wakubwa wenyewe, kwa nini linawabe hata wadogo wanaosaffiri mara moja kwa Mwaka?
4)....
5)