shadow recruit
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,844
- 384
IPTL ILIOKOA FEDHA ZA SERIKALI ASEMA RUGEMALIRA
Pia Rugemarila alisisitiza katika maelezo yake hayo kwamba uamuzi wa serikali, akimtaja Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Katibu mkuu wake Eliakim Maswi,kuruhusu fedha hizo zitoke BOT na kumaliza mgogoro zimeiokoa serikali na hasara nyingi ikiwamo kununua umeme wa bei ghali zaidi kutoka sehemu nyingine.
chanzo: Raia Mwema.
Pia Rugemarila alisisitiza katika maelezo yake hayo kwamba uamuzi wa serikali, akimtaja Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Katibu mkuu wake Eliakim Maswi,kuruhusu fedha hizo zitoke BOT na kumaliza mgogoro zimeiokoa serikali na hasara nyingi ikiwamo kununua umeme wa bei ghali zaidi kutoka sehemu nyingine.
chanzo: Raia Mwema.