Rugemalira: IPTL iliokoa fedha za serikali

Rugemalira: IPTL iliokoa fedha za serikali

Yani team mkono inavyo tapatapa kisa prof muhungo kawapga shini bac wanasumbua hao mpaka kero kwenye mitandao

Wana haki ya kutapatapa ,maana muhongo ni mwanaume kafunga mirija yote ya kina mkono kunufaika na wizara ya nishati na madini
 
Na mwaka mtakomaa sanaa tu maana mlifanya tz kama shamba la bibi
 
kitu kinachonishangazaga kuhusu wanasiasa wa hapa kwetu ni kupenda kutumia neno ufisadi vibaya katika kujipatia umaarufu

Mkuu kunausemi unasema ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya! Nahiki ndio kinachotokea siku hizi. Tumeona wakati kafulila anaanza kuropoka, alianza kwa kusema" Huu ni ufisadi mkubwa" akielezea sakata la iptl. Lakini amesahau watanzania wa leo siyo wajana hawawezi kutudanganya tena, Ona sasa tumezama na tumeibuka nakugundua kwamba bwana mdogo anatumika namafisafi wakubwa wa nchi kulipiza kisasi baada ya mirija yao wizarani kufungwa na iptl kukua kwa kasi kama kampuni yenye kulipunguzia mzigo taifa hili kwa kuuza umeme wa bei rahisi.
 
Back
Top Bottom