Baraka F.K
Member
- Aug 28, 2012
- 79
- 26
TAARIFA RASMI KWA UMMA:
Jana mh Amos Makala, Naibu Waziri wa Utamaduni na Michezo ametoa ufafanuzi na kuongea kwa kirefu redioni kuwa Ruge Mutahaba na Hamis Mwinjuma 'Mwana Fa' walitakiwa kuipeleka studio aliyoitoa Rais kwa wasanii wote ofisin kwake, baada ya kushindwa kumuonysha wiki 2 zilizopita kama walivyoahidi.
Tulilisema hili kuwa watu wameteka dhamira nzuri ya Rais kwa wasanii tukaonekana sisi wajinga na wabinafsi.
Imetolewa na Mike Tee a.k.a. Mnyalu
Jana mh Amos Makala, Naibu Waziri wa Utamaduni na Michezo ametoa ufafanuzi na kuongea kwa kirefu redioni kuwa Ruge Mutahaba na Hamis Mwinjuma 'Mwana Fa' walitakiwa kuipeleka studio aliyoitoa Rais kwa wasanii wote ofisin kwake, baada ya kushindwa kumuonysha wiki 2 zilizopita kama walivyoahidi.
Tulilisema hili kuwa watu wameteka dhamira nzuri ya Rais kwa wasanii tukaonekana sisi wajinga na wabinafsi.
Imetolewa na Mike Tee a.k.a. Mnyalu