MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,854
- 6,209
Niaje wadau?
Sijui nimuweke kundi gani huyu mdau Mr Ruge Mutahaba maana anajua kuisaka hela si mchezo na mwenzake Kusaga.
Kwa show moja tu ya fiesta Dar anatengeneza millioni zaidi ya mia 4
Show ya fiesta kwa wastani huwa inahudhuriwa na watu 20,000 katika viwanja vya leaders
Kwa fiesta ya mwaka huu ambayo wanatangaza kumdondosha Rick Ross aka Boss, kiingilio ni elfu 20 na elfu 25 kwa kichwa,, so kwa haraka haraka kuna million zaidi ya 400 atazitengeneza kwa masaa kadhaa wakati operational cost haitambana sana.
Rick Ross charges per east african rate and third world countries ( nchi maskini kama Tanzania) ipo around dola laki 1 kwa show ya 1 hour excluding ticket, 5 star hotel, insurance and meal for him and his 10 people team ( unaweza uka google kwa data zaidi) na hiyo ndo inamuumiza kichwa Ruge maana akishamalizana na Rick Ross let's say kwa kutumia around milioni 180, hela itayobaki yote ni kama ya kwake maana wasanii wa bongo bei zao ni za mafungu hata wakipewa elfu 50 poa ( refer Sugu) mradi wapande jukwaani wauze sura na kupata promo Clouds.
Kuhusu muziki ana gharama maana ni ule ule wa Clouds ambao ma dj ni wale wale wafanyakazi wake ambao siku hiyo ni kama wapo kazini.
Sasa mtu anayeweza kutengeneza hela zote hizo kwa masaa machache kipindi hiki cha maisha magumu ni mjasiriamali wa ukweli au fisadi.
Sijui nimuweke kundi gani huyu mdau Mr Ruge Mutahaba maana anajua kuisaka hela si mchezo na mwenzake Kusaga.
Kwa show moja tu ya fiesta Dar anatengeneza millioni zaidi ya mia 4
Show ya fiesta kwa wastani huwa inahudhuriwa na watu 20,000 katika viwanja vya leaders
Kwa fiesta ya mwaka huu ambayo wanatangaza kumdondosha Rick Ross aka Boss, kiingilio ni elfu 20 na elfu 25 kwa kichwa,, so kwa haraka haraka kuna million zaidi ya 400 atazitengeneza kwa masaa kadhaa wakati operational cost haitambana sana.
Rick Ross charges per east african rate and third world countries ( nchi maskini kama Tanzania) ipo around dola laki 1 kwa show ya 1 hour excluding ticket, 5 star hotel, insurance and meal for him and his 10 people team ( unaweza uka google kwa data zaidi) na hiyo ndo inamuumiza kichwa Ruge maana akishamalizana na Rick Ross let's say kwa kutumia around milioni 180, hela itayobaki yote ni kama ya kwake maana wasanii wa bongo bei zao ni za mafungu hata wakipewa elfu 50 poa ( refer Sugu) mradi wapande jukwaani wauze sura na kupata promo Clouds.
Kuhusu muziki ana gharama maana ni ule ule wa Clouds ambao ma dj ni wale wale wafanyakazi wake ambao siku hiyo ni kama wapo kazini.
Sasa mtu anayeweza kutengeneza hela zote hizo kwa masaa machache kipindi hiki cha maisha magumu ni mjasiriamali wa ukweli au fisadi.