Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

I know a lot of people ambao wanatumia "dozi" na wamefanikiwa kuishi miaka mingi tu. Na ukiwa muathirika haimaanishi kwamba ukifa tu basi ndiyo HIV imekuua.

Kwa umri wangu huu niliyofanikiwa kuishi; nimekuja kugundua kitu kimoja (majority cases). Baba anapata nguvu kwa mama/mkewe; na mke anapata nguvu kwa watoto wake. Kwa mume na mke ambao kweli wameshibana; akitangulia mke; mume anakuwa kwenye hali tete sana. Na mke/mama akifiwa hata na mtoto mmoja; anaweza akapotea mazima hata kama mume yupo na watoto wengine wapo pia.
Uko sahihi
 
Tatizo la Gardner nikupenda sana kitonga!

Mama Caren alikua na biashara zake nzuri tu za maduka ya nguo Mwanza,lakini baada ya yule Mother kushuka,Jamaa akampiga chini, akaenda kwa Jay Dee,na ndiyo huko kakutana na stress za maisha hadi akawa mlevi wakupindukia!
Nina kaka yangu, ni rafiki yake sana na Gardiner tumekaa sana na jamaa (G) Garder pale Tripple Seven Dsm,jamaa kwenye bills hakuwa na ushirikiano sana!
What did you expect kwa kijana aliyekulia ugosini?😂 Thats a norm to them.
 
Walifunga ya kanisani na mama Karen,wakafunga ya serikalini na Jay Dee
Hii sina taarifa yake!

Unaweza tupia walau kapicha ka hiyo ndoa ya kanisani kati ya Mama Caren na Gardner?? Maana siyo rahisi uwe na ndoa ya kanisani halafu ufunge ndoa nyingine tena hata kama ni serikalini,tena za kristo! Mama Caren lazima angeweka pingamizi la ndoa
 
Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.

Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.

Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy. Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita. Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.

Funzo tulilopata, hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.

Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.

Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.

Bila ndoa hutoboi 50
Mapadre wote wangekua hawatoboi hiyo 50yrs
 
Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.

Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.

Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy. Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita. Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.

Funzo tulilopata, hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.

Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.

Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.

Bila ndoa hutoboi 50
Duuh conclusion yako imetokana na sample na watu watatu
 
I know a lot of people ambao wanatumia "dozi" na wamefanikiwa kuishi miaka mingi tu. Na ukiwa muathirika haimaanishi kwamba ukifa tu basi ndiyo HIV imekuua.

Kwa umri wangu huu niliyofanikiwa kuishi; nimekuja kugundua kitu kimoja (majority cases). Baba anapata nguvu kwa mama/mkewe; na mke anapata nguvu kwa watoto wake. Kwa mume na mke ambao kweli wameshibana; akitangulia mke; mume anakuwa kwenye hali tete sana. Na mke/mama akifiwa hata na mtoto mmoja; anaweza akapotea mazima hata kama mume yupo na watoto wengine wapo pia.
Nimekuelewa

Wewe shida yako ni ndoa kama ndoa

Ni sawa,ila haimaanishi ilikua ndoa mahaba niue,kama ingekua hivyo atleast ukimwi usingekuwepo ndani humo to begin with!

Wote hao akina kibonde sijui ruge sijui habash,etc sio mifano ya maisha kabisa
 
Nimekuelewa

Wewe shida yako ni ndoa kama ndoa

Ni sawa,ila haimaanishi ilikua ndoa mahaba niue,kama ingekua hivyo atleast ukimwi usingekuwepo ndani humo to begin with!

Wote hao akina kibonde sijui ruge sijui habash,etc sio mifano ya maisha kabisa
Ooh wao sio mifano mizuri ya ndoa maybe; but haimaanishi kuwa ndoa ni kitu kibaya. Na Kila mtu ana deal breaker yake. Kama walikoseana hadi kupeana Ukimwi lakini wakaamua kusameheana; good for them. Wapo watu wengi tu ambao wana ndoa nzuri na sio kwamba ni 2 perfect people; as long as wao wanasameheana na kuchukuliana; how are we to judge? Ndoa sio lazima; lakini ni ya muhimu sana.
 
Mnapendaga kujustify ujinga. Wote hao hawakuwa kataa ndoa; na katika wote hao hakuna mtu ambaye alii-honor ndoa yake kama Kibonde. Kibonde ambaye baada ya mkewe kufariki alishindwa kukaa kwenye nyumba yake mwenyewe; akawabeba na watoto wake wakahamia kwa wazazi wake sijui. Unaweza ukaimagine kuondoka kwa mkewe kulikuwa na effects gani kwake. Hata wengine walitabiri kuwa Kibonde hataishi muda mrefu kwa sababu alikuwa na very strong bond na marehemu mkewe; na kweli hakukaa sana, likatokea la kutokea. Wewe kataa tu ndoa kwa sababu zako binafsi
Mama malezi ktk ubora wakeee!!
 
Back
Top Bottom