Rugby world cup 2011

Ukiwa mpenzi wa Rugby lazima utapenda uchezaji wa the Allblacks kwanza kunaile burudani kabla ya mechi ya ngoma ya kishujaa halafu mchezo wao unahusisha sana mbio na chenga za mwili.Pia wamefaidika sana kwa kuwachukua wachezaji wa visiwa vya karibu na kuwapa uraia ili wawatumie(Samoa,Tonga,Fiji etc).
 
hilo game la Argentina na England hata mie nasubiria kwa hama...
na sintashangaa kama England wakitolewa na Argentina...
Hizi timu za England,France,Ireland,Wales,Scotland na Australia wanawatumia maforwards wao kupunguza kasi ya mchezo na kuwanyima backline ya upinzani mpira.Timu za SA,Argentina,Italy,NZ na visiwa wenyewe wanawatumia backline kukimbiza mpira(open free play) ambayo inafurahisha watazamaji.
 
Ukiwa mpenzi wa Rugby lazima utapenda uchezaji wa the Allblacks kwanza kunaile burudani kabla ya mechi ya ngoma ya kishujaa halafu mchezo wao unahusisha sana mbio na chenga za mwili.Pia wamefaidika sana kwa kuwachukua wachezaji wa visiwa vya karibu na kuwapa uraia ili wawatumie(Samoa,Tonga,Fiji etc).

eehh hapo umeongea ndo maana hata in the rank ALL BLACKS are number one..

na dhani utakuwa unaongelea HAKA
watu wa kwanza wa nchi ya NZ wanaitwa Wa MAORI walitumia sana hii kwenye vita miaka hiyo mingi iliyopita..
lakini sasa inatumika kwenye michezo karibu yote huko NZ..
wa mbele kabisa kwenye mstari hapo Ni TANA UMANGA x- captain wa All Blacks
na kwa nyuma yake huyu ni cousin wako MAA NONU... pembeni atakuwa Piri Wipu na Keaven Mialamu....
 
Hizi timu za England,France,Ireland,Wales,Scotland na Australia wanawatumia maforwards wao kupunguza kasi ya mchezo na kuwanyima backline ya upinzani mpira.Timu za SA,Argentina,Italy,NZ na visiwa wenyewe wanawatumia backline kukimbiza mpira(open free play) ambayo inafurahisha watazamaji.

duuhh usema ukweli kwenye rugby unatakiwa utumie forwards and backs..
forwards wanatakiwa watengeze space ili backs wapata pa kuponyokea..
backs na wao wanatakiwa masaa mingi wanabaki nyuma kulinda goli
wakati forward wanazidi kusonga mbele..
ndo maana ma forward wengi ni wa nene sana especially Huka and props.. ( inasaidia kwenye scram sana ukiwa mnene)
watu wanaofanya kazi sana kwenye rugby ni first 5 na Half Back..
kama ulivyo sema mwanzano All Blacks wanajua kuwachanganya team yao vizuri...
 
Back
Top Bottom