Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Apparently bonde la Rufiji lina uwezo wa kulisha Afrika Mashariki nzima endapo litatumiwa vizuri na mamlaka husika limetandawaa katika mikoa ya Pwani, Lindi, Morogoro, Iringa, Mbeya, Ruvuma, Dodoma na Singida!
Bonde hili lina utiriri wa rasilimali ambazo ni chachu ya uchumi wa nchi hii...lakini wanasiasa wote inluding waziri wa sasa wa KILIMO hawataki kuelezea mkakati gani wanao ili wa utilize hii rasilimali ulionayo
Tunaambiwa kuwa kilimo ndcho kitatukwamua lakini watawala hili hawataki kulisema linapofikia suala la BONDE LA RUFIJI
Naona waziri mkuu Pinda ameamua kulivalia njuga hili suala la kilimo na who knows maybe watakuwa na mikakatmaalum kuhusus hili bonde lakini hilo hatulijui kwa sababu ofisi ya waziri mkuu haina website kama ilivyo ofisi ya JK hivyo hatujui mipango ya serikali yetu japo wanachukua kodi toka kwetu
Kwa mujibu wa taarifa za shirika la Chakula na Lishe (FAO) kuna hekta zisizopungua 622,622,400 zifaazo kwa kilimo cha kiangazi (cha umwagiliaji) katika bonde lote la mto Rufiji.
Ambapo bonde la Usangi limemega hekta 208,000 kati ya hizo, Ruaha napo pakameza hekta 5,800 huku Kilombero paliichukulia hekta 329,600 na Rufiji chini yakiwa na hekta 70,000.
Halafu mtu anakwambia kuwa Bongo kuna njaa sisi tutoe wapi njaa ili hali tumejaaliwa Bonde la Rufiji?
Bonde hili lina utiriri wa rasilimali ambazo ni chachu ya uchumi wa nchi hii...lakini wanasiasa wote inluding waziri wa sasa wa KILIMO hawataki kuelezea mkakati gani wanao ili wa utilize hii rasilimali ulionayo
Tunaambiwa kuwa kilimo ndcho kitatukwamua lakini watawala hili hawataki kulisema linapofikia suala la BONDE LA RUFIJI
Naona waziri mkuu Pinda ameamua kulivalia njuga hili suala la kilimo na who knows maybe watakuwa na mikakatmaalum kuhusus hili bonde lakini hilo hatulijui kwa sababu ofisi ya waziri mkuu haina website kama ilivyo ofisi ya JK hivyo hatujui mipango ya serikali yetu japo wanachukua kodi toka kwetu
Kwa mujibu wa taarifa za shirika la Chakula na Lishe (FAO) kuna hekta zisizopungua 622,622,400 zifaazo kwa kilimo cha kiangazi (cha umwagiliaji) katika bonde lote la mto Rufiji.
Ambapo bonde la Usangi limemega hekta 208,000 kati ya hizo, Ruaha napo pakameza hekta 5,800 huku Kilombero paliichukulia hekta 329,600 na Rufiji chini yakiwa na hekta 70,000.
Halafu mtu anakwambia kuwa Bongo kuna njaa sisi tutoe wapi njaa ili hali tumejaaliwa Bonde la Rufiji?