WOWOWO
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 599
- 457
Bila shaka leo ndiyo kucheka au kulia tena kwa Wananchi wa Arusha Mjini. Jopo la Majaji likiongozwa na Jaji Mkuu linatazamiwa kutoa hukumu ya Rufaa ya aliyekuwa Mbunge wao kipenzi Godbless Lema. Matumaini yetu ni Ushindi kwa wana Arusha hasa ukizingatia rufaa ya Lema imesimamiwa na Wanasheria mahili wa CDM kama Tundu Lisu.Walio Arusha tupeni hali halisi ya Jiji hilo na nini kinaendelea.
Naomba kuwasilisha..
Naomba kuwasilisha..