Hivi hata kama mnapenda ngono kiasi gani, baba anaweza kufanya hivyo mbele ya watoto kweli?, na kama kweli kafanya hivyo iweje wananchi watake kuandamana kwa ajili yake? kwani ni wangapi wamefungwa kwa ajili hii na wananchi wako kimya?
hapa ni lazima kuna kitu, na mkitaka kupata ukweli fuatilia magazeti ya leo jioni (kwa wale walioko Dar) yatauzwa sana kwa ajili yake, hapo hampati jibu kweli?