Chama kilimwacha solemba mpaka akashindwa sasa hv ndo wanajidai kukata rufaa.Akina magufuli hawakweta kumtetea,anaona aachane na siasa uchwara za magamba
lakini CCM imesema itasimamia yenyewe rufaa ya kupinga kuenguliwa ubunge
Hata mimi ningekuwa Dr.Kafumu ningekataa. Kwanini CCM hawakumlazimisha Mh.Magufuli afike mahakamani wakati alipohitajika? Pia walimuharibia sana kwa kugawa mahindi ya njaa, kuwatishia wananchi kwa bastola, kuwababmbikizia wananchi kuchoma kibanda cha kuku na karatasi kusalimika, kuahidi uongo daraja la Mbutu, kuwachukulia makada wake zao nk. Hata mimi nisingependa uchonganishi kama huu utokee tena. Nampongeza sana Dr. Kafumu.
Mhusika mkuu Kafumu ameridhika na hukumu. CCM inata rufaa kama nani? Wanatapatapa waache waendelee kujimaliza hata kabla ya kipenga cha 2015.
Tu'assume CCM ikishinda rufaa, kafumu atakataa kuwa Mbunge?
mkuu, pointi hii ya kugawa mahindi ndio anayotamba yano mwigulu nchemba kulalamikia cdm eti hawana utu sababu watu wenye njaa wamesaidiwa, wao wametumia msaada huo kupokonya mtu ubunge. anatamba majukwaa ya Igunga now akihubiri kuwa chadema hawana utu kwa kutaka watu wafe na njaa