SirAlfred006
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 552
- 1,306
Haujengwi kwa mbao aisee
Nimeipenda hii
Hiki kimepikwa na me
Mimi niletee hiki fasta. Kwani Sahani inauzwa Tshs. ngapi kwa jioni leo??🤣
Mkaldayooooooo
hapo umekula matakataka mzee, mafuta yote hayo yanaingia mwilini? limchuzi limejaa mafuta ya wanyama, plus ugali unga umekobolewa. ukinipa mimi chakula kama hicho huwa naomba na kibakuli pembeni cha kukamulia na kukwangua mafuta toka kwenye izo tumbo ili nile zilizo safi. na nikila ugali mweupe huo ujue siku hiyo lazima nifanya mazoezi au nipige gemu sana na mama yenu.