Kalenga-Iringa
JF-Expert Member
- Nov 4, 2012
- 263
- 41
Wenye akili ni wale wanaowachangisha ili wajenge majumba ya fahari wanawaacha wajinga mnapigwa na jua tuccm na polisi awana akili, Is tanzania a police state
Wenye akili ni wale wanaowachangisha ili wajenge majumba ya fahari wanawaacha wajinga mnapigwa na jua tuccm na polisi awana akili, Is tanzania a police state
endeleeni kudanganyana hapo..ccm inaongoza nchi halafu ing'ang'anie kijiji kimoja kwa shida gani???
Baada ya wananchi wiki iliyopita kuandamana kwa kumkataa mwenyekiti wa kijiji aliyeteuliwa na CCM kukabidhiwa ofisi, hatimaye leo mkurugenzi wa wilaya pamoja na mkuu wa wilaya ya Kilosa wamemteua na kumtangaza mwenyekiti wa kijiji katika kituo cha polisi cha Ruembe K2, badala ya kwenda kumtangaza kwa wananchi.
Nimeongea na wananchi wa Ruaha wanasema huyo ni mwenyekiti wa kijiji wa polisi na si wa wananchi.
Nawasilisha.
hawana au awana rudi shule.
endeleeni kudanganyana hapo..ccm inaongoza nchi halafu ing'ang'anie kijiji kimoja kwa shida gani???
Baada ya wananchi wiki
iliyopita kuandamana kwa kumkataa mwenyekiti wa kijiji aliyeteuliwa na
CCM kukabidhiwa ofisi, hatimaye leo mkurugenzi wa wilaya pamoja na mkuu
wa wilaya ya Kilosa wamemteua na kumtangaza mwenyekiti wa kijiji katika
kituo cha polisi cha Ruembe K2, badala ya kwenda kumtangaza kwa
wananchi.
Nimeongea na wananchi wa Ruaha wanasema huyo ni mwenyekiti wa kijiji wa
polisi na si wa wananchi.
Nawasilisha.
Hicho kijiji kina madini au? Mbona dola imkikomalia sana?
DO mambo mengine masihara kweli, ataoongoza vipi watu wasiomkubali hii ni hatari kwake na familia yake kwa ujumla.Taabu kweli kweli.
Wanajaribu kuzuia wimbi linaloshuka kuikomboa mikoa ya kusini, waelewa nguvu kubwa ktk ku oppress ina lead to nguvu kubwa katika uhasama.
Tuna uchaguzi mdogo wa udiwani kwenye kata husika na hapo ndio ccm watajutishwa kwa adhabu kali watakayopewa na umma.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums