RPC wa Dodoma, Afande Muroto aituhumu JamiiForums kwa kupotosha taarifa za kifo cha Sheikh Rashid Bura

Dot zimesha someka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kesi kama ya Costa del sol iliyoleta sintofahamu baada ya baba na wanae kufia kwenye swimming pool



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mwenyeezi Mungu ailaze roho ya marehemu peponi na amsamehe madhambi yake. Poleni ndugu najamaa wote mliopatwa na habari za kusikitisha sana.
 
Nijuacho kuna damu za watu si zakuzichezea chezea kabisa tena hasa hawa watu wa dini nakupindisha pindisha sababu ya vifo vyao, hamjui tu Mwenyezi Mungu anaudhika kiasi gani, haya mambo yote malipo yake huja maradufu wala haina haja ya kuongea sana.
 
Pascal Mayalla,
Mkuu nakuelewa sana na mada au uchambuzi wako. Ila nina mashaka na weledi wako wa kusimamia haki. Katika hili umekuwa upande mmoja sana maana sijaona ukiuliza maswali kama hayo kwa upande wa washutumiwa ambao ndio sisi humu JF, nipashe na wengineo. Je, ukweli wa taarifa zetu upo kwa kiwango gani? Je, tunaruhusiwa kuegemea katika single source? ni nani alithibitisha kutoka kwenye eneo la tukio yale yote yaliyoandikwa kwenye vyombo vya habari kabla ya taarifa ya polisi? Kwanini tunang'ang'ania sisi tu ndio tupo sahihi na si wengine?

Sina shaka kabisa na mapungufu mengi yaliyomo kwenye ripoti ya polisi sababu aliitajika daktari atoe taarifa ya kitaalam isiyoacha shaka. Lakini hili hali halalishi taarifa ya JF iwe sahii.
Jf kwa kiasi kikubwa imekuwa kama ulimwengu wa "Kambale". Hakuna mtu wa kuangalia ubora na ukweli wa taarifa na mbaya zaidi huwa tunaamini taarifa ya mwanzo tu, zinazofuata haziaminiwi hata zikiwa na ukweli. Na humu ndani kuna makundi kivyama. Hili linanipa ukakasi sana katika kujadili mambo ya kitaifa.
Samahani kama nimekukwaza.
 
Kimbinyiko hizi zenye System Charger au zipi?

Halafu toka anatoka Dar hakuwasiliana na Familia yake...
Msomaji ni alikuwa anasoma ila mwili unakataa alichokuwa anasoma.
Kubabatiza maneno yani maneno na mwili vinaenda pande mbili tofauti.

Nyakati zao za kukusanya kwa wote wanayotenda hayo maovu..ila pia nyakati za wanaoonea zikifika.

Njia na kipimo kitakuwa kama hicho wanachotumia.

Muda tu ..2020
 
Wewe mchchezi! Dalili ya majeraha ni nini.
Mlianza na pro.. asadii kuwa katekwa akaharibu mwenyewe!
Mmekuja kwenye huu mkasa napo mmeshindwa! Tunajua mnakesha na kulipwa posho ili kuleta machafuko! Mtapata taabu sana.
 
Taarifa haiwezi kutolewa na Daktari kwani hawawezi kusema uongo na ni kinyume na maadili yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…