mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 3,768
- 4,259
Hilo ndg siyo la kihoji inawezekana kabisaKwahiyo CV yake ni wazi kuwa marehemu aliwahi kuwa mtumishi wa idara nyeti.
Huyu atakuwa ni askari polisi.Mkuu punguza jaziba Tumia herufi ndogo tu Sisi watanzania niwaelewa tutakuelewa tu dhamira yako hata Kama niyakijinga.
Sent using Jamii Forums mobile app
MOYO ULIFELI KWANI ALIFANYA MTIHANI WA DARASA LA NGAPI? ALISHINDWA HATA KUPATA FEKI AKAIBIA? MITIHANI KWELI YAWEZA KUWA KITU MBAYA KABISA, SIJUI WATALITUHUMU BARAZA LA MAPEPA KWA KIFO CHAKE?
Sifaham kakaKuna wimbi la kupotea kwa masheikh mikoani....kunani?
Sent from my iPad using JamiiForums