Ndeyanka_Mwenyewe
Member
- Jun 30, 2013
- 10
- 19
RPC Arusha tunaomba ingilia hili suala la traffic Police Arusha wamekuwa ni kero kusimamisha magari na kuomba hela.
Inakuwa kama hela ni haki yao uwe na kosa ama huna kosa. Arusha ni mji mdogo unaweza simamishwa mara tatu katika safari moja kila kona traffic wapo na wote wataomba hela.
Hii ni kero
=======
Baadhi ya maeneo yenye changamoto hii ni:
Barabara ya Moshi Arusha
Barabara ya Monduli maeneo ya Shamsi
Barabara ya Njiro Maeneo ya Fire
Barabara ya Ngaramtoni
Maeneo ya Laska Zone
Soma Arusha: Kero ya Rushwa ya Mdau yamfikia RPC; aapa kutowaonea haya Trafiki wala Rushwa. Je, kauli za maapizo zinatosha?
Inakuwa kama hela ni haki yao uwe na kosa ama huna kosa. Arusha ni mji mdogo unaweza simamishwa mara tatu katika safari moja kila kona traffic wapo na wote wataomba hela.
Hii ni kero
=======
Baadhi ya maeneo yenye changamoto hii ni:
Barabara ya Moshi Arusha
Barabara ya Monduli maeneo ya Shamsi
Barabara ya Njiro Maeneo ya Fire
Barabara ya Ngaramtoni
Maeneo ya Laska Zone
Soma Arusha: Kero ya Rushwa ya Mdau yamfikia RPC; aapa kutowaonea haya Trafiki wala Rushwa. Je, kauli za maapizo zinatosha?