Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Mwizi siku zake ni Arobaini. Siku zote imekuwa siri lakini hatimaye amekuja kujulikana mmiliku wa Dowans. Jambo moja la kushangaza ni kuwa kwenye gazeti la Mtanzania Rostam anasema Dowans ndiyo kampuni iliyoleta mitambo kwa haraka na kuzalisha umeme wa bei nafuu zaidi! Hapa ninashanga kwa kuwa Mitambo ililetwa na Richmond naye Rostam anasema mitambo ililetwa na Dowans. Kwake Rostam Richnomond na Dowans ni kitu kimoja? Nchi inakwenda wapi hii?