Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

MWAFRIKA WA KIKE swahiba mwenye akili, nakuuliza suala njaa imekukabili, nusu ya mwezi hujala likaja kombe la wali, ukawekewa mahala hula ndipo ukanawa, au hunawa kisha ukala

Swahiba wangu SHY,

Nitatumia kijiko (si unajua tena kama ulisoma public school na unaishi shule kuna mambo ya kuwa na kijiko au folk all the time)

hhi hih hihi hihih siwezi kusubiri kunawa... nitatoa kijiko changu na kuanza makamuzi.
 

KUMALIZA MWANAKIJIJI KWA NJIA GANI ? KIHOJA AU NJE YA HOJA ? KAMA NJE YA HOJA BASI WATU WAWE MAKINI NA TUPEANE HABARI ZAIDI ILI TULINDANE NA KUPEANA HABARI ZA HAPA NA PALE KUHUSU NJAMA HIZI

POLE MWANAKIJIJI LAKINI KUNA KITU HUJAJUA BADO JARIBU KUTAFAKARI
 
..hiyo post yako at #60 imenikumbusha graca machel-mandela!

..ingekuwa enzi ya upigania uhuru makomradi wangekua na furahaa wewe kuwa mmoja wao!

..keep the spirit up!
 

CHADEMA au CUF ni zaidi ya viongozi au watu binafsi. Utashangaa kuwa CCM wanapondea vyama vya upinzani lakini nilipohudhuria moja ya mikutano ya JK na timu yake walivyokuja kutalii oooppps kutafuta wawekezaji kiwanja..... moja ya statements zilizosemwa sana ni namna Tanzania ilivyo na demokrasia huku mmoja wa wajumbe akitaja CUF na CHADEMA kama mfano...

Hoja ya thread hii ni kuhusu Spin ya mkoloni na mwizi Rostam Aziz na sio kuhusu anti-CHADEMA thread..
 

Kazi nzuri SHY,

Nilisoma ile post uliyotoa kuhusu hii issue na niliipenda idea yako.
 

HABARI ZA JIONI MWAFRIKA

SAMAHANI NIMELAZIMIKA KUJIBU KUTOKANA NA KIJANA WETU WA KWANZA KUANZA KUULIZIA SUALA HILI KWA KUA MIMI NI MWENYEJI WA UBONGO HATA SASA NIKO UBUNGO KWAHIYO NIMEONA NIJIBU BILA KUCHELEWA KUTOKANA NA EXPERIANCE YANGU SAMAHANI LAKINI

MWAFRIKA WA KIKE UNAJUA SEHEMU INAYOITWA MINERAL CENTRE HAPA DAR ? NITAKUPA HABARI ZAKE SOON
 
Kazi nzuri SHY,

Nilisoma ile post uliyotoa kuhusu hii issue na niliipenda idea yako.

KAMA KUNA WAKO TAYARI WANAPENDA KUSHIRIKIANA NA MIMI KATIKA KUSAMBAZA UJUMBE NA KUIAMBIA TANZANIA UKWELI MIMI NIKO TAYARI WANIPE EMAIL ZAO NA NITAWAPA MAELEZO YA ZAIDA KWA SABABU NIMESHAANDAA MTANDAO MAALUMU JINSI YA KUANDIKA HIZI BARUA , KUTAFUTA EMAILS , NAMBA ZA SIMU NA TAARIFA ZINGINE KWA NJIA YA MTANDAO ( DATA MINING ( NA KUZITUMIA IPASAVYO

LAKINI TUSIPATIANE MAJINA YA KWELI NA TUSIONANE TUHESHIMU UAMUZI HUU MANAKE MHH
 
..hiyo post yako at #60 imenikumbusha graca machel-mandela!

..ingekuwa enzi ya upigania uhuru makomradi wangekua na furahaa wewe kuwa mmoja wao!

..keep the spirit up!

Thanks,

Najua Siwezi hata kidogo kujilinganisha na Graca. Hata hivyo nashukuru for you kind words.
 
Mwaka 1996 Nikiwa Darasa La 6 Mtu Mmoja Alipenda Sana Kuimba Na Kuiga Mambo Kama Tupac , Siku Moja Mwalimu Akamwita Na Kumuuliza Unapenda Kua Kama Nani Akajibu Tupac .

Mwalimu Akamwambia Kila Mtu Hapa Duniani Ni Tofauti Huwezi Kua Kama Yeye , Lakini Unaweza Kuwa Na Vitu Vinavyoshabihiana Kutokana Na Ushabiki Wako Kwake Au Jinsi Wewe Watu Wanavyokuona Na Kukufananisha

Bali Unaweza Kua Zaidi Yake Ukabidilika Kidogo Kutokana Na Mazingira Uliyopo

Ndio Nakuja Katika Point Ya Da Si Lamu Kwa Mwafrika Wa Kike , Ndio Huwezi Kua Kama Mandela Lakini Unaweza Kua Zaidi Yake Kutokana Na Mazingira Unayoishi Na Changamoto Unazokutana Nazo Katika Harakati Zako Bila Kusahau Support Kutoka Kwa Wale Wanaokuunga Mkono Kama Mimi
 
representative on the Vodacom Tanzania board is businessman-politician Rostam Aziz, a close associate of President Jakaya Kikwete. At the time Vodacom entered Tanzania, neither man was quite as powerful as now -- Kikwete was foreign minister and Aziz had yet to occupy a formal position in national politics.

But they proved a good bet: In 2005 Kikwete, supported and funded by Aziz as his campaign manager, succeeded Benjamin Mkapa as president, and Aziz was elected to Parliament. Last year, when Kikwete also took over the chair of the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM), from Mkapa, Aziz became the party's treasurer.

Vodacom Tanzania had, however, spread its political bets. The CCM's Pius Msekwa was both Vodacom Tanzania's non-executive chair and Speaker of Parliament between 2003 and 2005. When Vodacom hosted a "VIP gala dinner" to bid farewell to outgoing president Mkapa in December 2005, Msekwa attended, presumably in both capacities.

Vodacom Group said in a statement this week that Aziz's participation in Vodacom Tanzania was "lawful", but added that "governance risks have to be carefully managed, particularly if they increase over time as a business partner, shareholder representative or director takes on an increasingly active role in politics".

About Msekwa, it said that the appointment of Vodacom Tanzania's chair was the prerogative of Vodacom's Tanzanian partners, but conceded: "It is correct to note that having a Speaker of Parliament as a chairman presents a significant degree of governance risk, and Vodacom would very likely counsel or decide against such an appointment in future."

soma zaidi hapa http://www.mg.co.za/articlePage.aspx?articleid=304613&area=/insight/insight__national/
 

Actually inategemea ni magazeti ya namna gani unayoongelea. Kama ni broadsheet then kama uko States then nadhani unajua kuwa issue inayouza magazeti wa wiki hiyo iliyopita ni ugomvi wa Karl Rove na Hilary Clinton, Bush kulinganisha Vietnam na Iraq while in UK ni issue ya Rhys Jones na UK troops widhrawal from Basra...na zote zinauza....Umetoa mfanowa Britney lakini Britney hauzi sana kwa kuwa katika front page za magazines since atoke kwenye rehab, sasa hivi LILO au Lindsley Lohan na Ammy Winehouse wanauza sana hizo magazines so check your data on best selling stories on both sides of the Atalantic
Una maana gani unaposema kuwa Zito anafanya populist gimick?unaweza kuita hiyo statement kejeli au hoja?
rejea speech ya ya spika wakati anamsimamisha

Usianze kulia sasa kama mtoto mdogo!
Another cheap shot, nilikuambia toka awali siko hapa kutupiana matusi lakini looks like mwenzangu hilo ni muhimu kwako. I am not sure far are you willing to go na hili

Prove otherwise kama wewe sio CCM

nilikuuliza wewe kuwa nionyeshe wapi nimesema kuwa mimi ni CCM?
At one point unashauri watu kusoma recommended books za media na wewe mwenyewe hujui moja ya mbinu kubwa watu wa kwenye media wanatumia kupata info...


Nionyeshe wapi nimesema najua mbinu za watu wa kwenye media?

Huoni kama ni aibu mtu mwenye hadhi yako kudanganya? kama una nia nzuri huna haja ya kupretend. Hukuwa na haja ya kupretend in the first place. na unaonyesha ni msomi hivyo ulishindwa vipi kuuliza kuwa wanalitumia kipengele gani kujustify kuwa mikataba haiwezi kuonyeshwa? Huoni kama mmlikuwa waongo ndio maana mkashindwa kupata jibu sahihi?

Unataka kulia sasa? CHADEMA wakisema kitu unadai kuwa hawako informed well.... na on the other side unataka watoe statement kwa kila kinachoendelea nchini... unachotaka hapa ni nini?
Nionyeshe wapi nimesema CHADEMA hawako well informed

Of course Rostam ni mkoloni na mwizi wa mali za nchi yetu... siku ukitoka kwenye payroll yake utarealize hili.
Nimeomba uprove hizi allegations lakini naona hujanipa majibu
Nani alikufundisha kuwa jambo baya linakuwa justified kwa tendo lingine baya? ......
Ni wapi nimetoa hiyo justification?
 
CHADEMA watahitaji watanzania wengi zaidi ya Mnyika ila wewe sio one of them maana katika moja ya postings zako huko nyuma kabla hujabadili jina hapa JF ulieleza kuwa unamission ya kummaliza mzee mwanakijiji.


Unaendelea kuongopa hebu lete hiyo quote ambayo unadai nilisema kuwa nina mission ya Kuumaliza Mwanakijiji na kama ukishdwa then naomba uondoe hayo matamshi yako hapo juu
 
KUMBA HUYU ROSTAM YUKO MPAKA MWANANCHI COMMUNICATIONS? WATOAJI WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA THE CITISEN? TAZAMA

The conclusion of the deal follows last Saturday's partnership agreement signed between NMG Chief Executive Officer Wilfred Kiboro and Ambassador Ferdinand Ruhinda and Mr Rostam Aziz of Mwananchi Communications Ltd (MCL).

KISHA http://ismaili.net/timeline/2002/20021213dn.html HUYU JAMAA NI KIBOKO BASI NTAKUA SIPELEKI TENA MAKALA MWANANCHI COMMUNICATIONS
 
Thanks,

Najua Siwezi hata kidogo kujilinganisha na Graca. Hata hivyo nashukuru for you kind words.

..wakati mwingine ni posts kama hiyo zinazotufanya tuwe na imani kuwa tanzania hata ikipotea uelekeo itawekwa sawa tu!

..nadhani,inachangamsha sana pale watu wanapotumia hoja kujadili mambo na si kumtetea mtu au watu!

..halafu hata kama watu wamekosea kitu waelekezwe kukifanya vizuri sio kupewa maneno ya mipasho ya kiufundi hivi!

..naamini kuwa katika vyama tulivyonavyo hamna hata kimoja afadhali kuzidi kingine,bali viongozi na nia yao juu ya maendeleo ya hii nchi ndo wanatofautiana!

..kuna wale[viongozi]wanaoonyesha nia halisi ya kuona nchi inaendelea na kuna wale ambao wanakula bila kunawa na kufikiri kuwa watoto walio na njaa dawa yao ni kuwapa peremende watanyamaza njaa!kumbe alas!hizo peremende hazisaidii kitu baada ya muda watalia njaa tena vibaya sana itakuwa aibu!

....so bibie, thank you!
 

Unataka kuanzisha ubishi kuwa Britney hauzi magazeti.... Issue kubwa ni kuangalia madai yako kuwa swala la Zito kuquestion mikataba ya madini ya Tanzania kwenye context ya kuuza magazeti. Ukitaka nikupe data za nani anauza magazeti sana hebu anzisha thread hiyo na wala usitumie hii ambayo ni kwa ajili ya mkoloni na mwizi Rostam Aziz.

rejea speech ya ya spika wakati anamsimamisha

Mbona hukusema kuwa unamquote spika? Hata hivyo kusema kuwa Zito anafanya populist gimmics regardless of who the hell amesema ni hoja au ni kejeli?

Another cheap shot, nilikuambia toka awali siko hapa kutupiana matusi lakini looks like mwenzangu hilo ni muhimu kwako. I am not sure far are you willing to go na hili

Dont cry like a baby..... hakuna aliyekutukana matusi ila kama unayataka anzisha thread nyingine kwani hii ni kwa ajili ya mwizi na mkoloni Rostam Aziz

Nilikuuliza wewe kuwa nionyeshe wapi nimesema kuwa mimi ni CCM? Nionyeshe wapi nimesema najua mbinu za watu wa kwenye media?

Kasome tena thread zako ambazo umefanyia editing na ambazo bado hujafanyia editing. Kasome zote hata zile uliandika kabla ya kubadili id yako hapa.... this is your homework for today.


Unaweza kuita kudanganya au whatever but ukweli kuwa hii ni mbinu inayotumika sana katika media na research activities. Kwa sasa kuna shoo moja maarufu inayoitwa how to catch a predator ambayo NBC wanatumia watu wanao-pretend kuwa ni watoto kwa nia ya kushika predators wa kwenye intanet. Huu ni mfano tu na unaweza kuwaita NBC waongo ila hiyo ni njia wanatumia kupata stori na info zao.

Serikali ilikataa kutoa info yoyote kuhusu mikataba ya madini (in my case) kwa kisingizio kuwa hiyo mikataba public hairuhusiwi kuiona. Kafanye research yako uprove hili kabla ya kugeuza thread inamhusu mkoloni na mwizi Rostam Aziz kuwa anti- CHADEMA

Nionyeshe wapi nimesema CHADEMA hawako well informed

Soma thread zako

Nimeomba uprove hizi allegations lakini naona hujanipa majibu ...Ni wapi nimetoa hiyo justification?

Hivi sasa hivi wewe ndio msemaji mkuu wa mwizi na mkoloni Rostam Aziz? Mwambie bosi wako aje kujitetea mwenyewe hapa kwani labda yeye atajieleza vyema kuliko wewe
 

Thanks for your kind words....

Kofia ya Graca ni kubwa sana ndio maana niliogopa kuivaa ingawa nilimwelewa Dar Si Lamu alichomaanisha.
 
Unaendelea kuongopa hebu lete hiyo quote ambayo unadai nilisema kuwa nina mission ya Kuumaliza Mwanakijiji na kama ukishdwa then naomba uondoe hayo matamshi yako hapo juu

Kwanza waambie memba hapa ambao bado hawajui jina ulokuwa unatumia kabla hujabadili na kuanza kujiita game theory na kisha usome postings ulizoweka kwa kutumia jina lako la zamani ili ujikumbushe ulivyosema kuhusu kummaliza mwanakijiji.
 
No siijui ila nitashukuru ukinipa habari zake

UNATAKA RAMANI ZOZOTE ZA TANZANIA SEHEMU ZA MADILI NA VIWANJA VYA MADINI ? KULE SHINYANGA NA SEHEMU ZINGINE KWA BEI CHEE ?

NENDA SEHEMU INAITWA MINERAL CENTRE HII IKO CHINI YA WIZARA YA MADINI NA NISHATI UKIFIKA PALE RAMANI AMBAYO UTAIPATA KWA DOLA KARIBU 7000 PALE UNAIPATA KWA ALFU 50 KUNA VIJANA PALE WATAKUPATIA NA HATI MILIKI ZOTE UTAPATA

NA NDIO WENGI WAMESHASHITUKA WANANUNU APALE WANAKUJA KATIKA MITANDAO KUUZA KWA BEI GHALI KWA WASOMI NA WATU WENGINE

WEWE HUJAJUA TU MWAFRIKA WA KIKE ? NENDA PALE MWAMBIE HUYO JAMAA WA RESEARCH APITE PALE ATAPATA KILA KITU LAKINI KWA KUANZIA ANZA KUANGALIA

www.google.com/earth kwanza tumia programu hiyo kupata viwanja unavyotaka na taarifa zingine na vipimo kabla hujatembelea hao wauza nchi
 

Masanja, I hear you loud and clear my brother. We will overcome one day, no doubt about that.

No amount of 'upotezaji wa lengo' will remove our focus from the covetted prize - our god given utajiri for our own good, not for the new colonil masters through their local agents. With or without the likes of Kabwes, Slaas,; we will sweep them away.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…