RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Maoni mengi ya wana JF ni sahihi kabisa kwa huyu RA siyo raia na je kwanini serikali, usalama wa taifa na idara zingine za kijasusi za kumuondoa nchini kabla ya sisi raia hatuja mla nyama kwani zipo mbinu kama za Kenya za kuwatumia ma-hitmen kutuondolewa hiki kiroboto. RA anachafua hali wa usalama wa kitaifa lakini viongozi waliopo madarakani hawalioni hili then ni bora RA ukimbie mwenyewe hapa TZ kwani hali siyo nzuri unachukiwa na taifa zima nenda kwenu Iran everybody knows, wewe utakufa na wengine watafuata kwani mko wengi mnao kwiba mali za walipa kodi.