PreGE2025 Rose Ndauka: Kuna siku nitatamani kupiga kura ila kwasasa... kwa yanayoendelea ningekuwa kiongozi wa Sekta inayolalamikiwa sana ningejiuzulu

PreGE2025 Rose Ndauka: Kuna siku nitatamani kupiga kura ila kwasasa... kwa yanayoendelea ningekuwa kiongozi wa Sekta inayolalamikiwa sana ningejiuzulu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Wakuu, naona Rose Ndauka amejitenga na uchawa tofauti na wasanii wenzake, kwakweli tunahitaji wasanii wa aina hii Cc Waufukweni

Kupitia Instagram page yake ameandika:

"Kwa yanayoendelea ningekuwa kiongozi wa Sekta husika ambayo watu wanailalamikia sana kama nimeshindwa kuboresha basi ningejiuzulu........

Ila pia kuna siku nilisema kusiwe na uchanguzi ili kusave hela nilisemwa sana mpaka nikashusha post yangu ila nilimaanisha uchanguzi uwe huru na wagombea wote waridhike kuweza kupata viongozi wananchi tunaowataka......

Kuna siku nitatamani kupiga kura ila kwasasa.......#MunguNilindeMiminaFamiliayang u msiojulikane mkae mbali na mimi"

Usikute huyu anatumiwa na serikali kuwatega wananchi wenzake waikosoe serikali kisha wakamatwe na kunyongwa waseme ni wavunjaji amani.
 
Tabia zake za kujiuzulu kwenye ndoa anadhani kila mtu anazo?
 
Hta gigymoney akiongea kuikandia cc m nae ataonekana anajielewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom