Mhhhh, Yo yo na wewe hata hapa upo tu? Dada yetu kwa kweli ana kazi nzito.
Mhhhh, Yo yo na wewe hata hapa upo tu? Dada yetu kwa kweli ana kazi nzito.
Sizitaki mbichi hiziSamora mnategwa na nani ndauka? Hana kitu garasa tuu
I hope then nido sio za kichina namzimia sana huyu msanii wa bongo movie
Kama sio mchina basi jeki imetumika
Masikini wachina wametuharibia huyu mtoto!!! Alikuwa Bomba ana maziwa Kiduchu kama embe sasa hebu ona. Wachina hawa? Sina hamu.