ROse Ndauka duuh

ROse Ndauka duuh

wengine wala kungu eti walegeze macho hachotwi m2 hapa wote 2ko macho
 
I hope then nido sio za kichina namzimia sana huyu msanii wa bongo movie

ndauka.gif



Magonjwa tu hamna lolote!
 
haya yanawezekana yakawa malapa yamenyanyuliwa tuu na zile jeki zao...

hii kitu ukiipata unaisuguaaa hapo mbele kisha waisuguaaa hapo nyuma....bwahhahaha
2940uqa.jpg
 
wanawake bwana,,,, mpaka wakae nusu uchi, kingono ngono ndo wanajiona wanapendeza...... Ukichwa maji tu...
 
Acheni chuki Rose ni mrembo afu toto la kitanga hili usipime.
 
kibatani cha senksi cant see...... oopps found it, thanks again

Hizo nyonyo hazina thamani kama hazijaweza kumnyonyesha mtoto...! Thamani ya hizo nyonyo ni kumyonyesha mtoto na kumkuza awe na afya njema, sio kutegea wanaume ili kuzidi kueneza UKIMWI
 
Yani inabidi uwe na moyo mgumu sana kukataa ukweli.yani mtoto kama huyo anakuita kwa madoido ,we unadhani utakumbuka kama garasa..wanaume kazi jamanii, me mawaonea huruma sana kaka zangu nyie.
 
Kweli kabisa thamani ya nyonyo ni kunyonyesha na kumkuza mtoto sio kuziachia tuu nje nje anamuonyesha nani?
 
Huwa nawashangaa watu ikiletwa picha wanakuwa negative sana kwanini ? kama hujapendezwa si uhamie thread ingine ?

unajua wakati mwingine kitu ukikitamani halafu huna namna unaishia chuki binafsi tu.....ila wanaisoma namba japo kimoyomoyo:lol:
 
Back
Top Bottom