real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,296
Jeshi la polisi mkoani Singida linamshikilia muimbaji Rose Mhando kwa tuhuma za kujipatia shilingi 950,000 kwa njia za udanganyifu
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida Deborah Magirimba amethibitisha hilo, na kuongezea msanii huyo alikamatwa Juni 1 mchana wilaya ya Ikungi baada ya waumini wa kanisa la AICT Singida kutoa taarifa za kuonekana kwake
Rose Mhando anadaiwa mnamo tarehe 3/11/2016 huko wilayani Singida alipokea shilingi 800,000 kutoka kwa Massawe Japhet kwa makubaliano atatokea kwenye uzinduzi wa kwaya ya ACT Singida lakini hakutokea,
kabla ya tarehe ya kufanyika kwa uzinduzi huo alidai tena 8/11/2016 alipokea 150,000 baada ya kudai nauli ya kutkea Dodoma kwenda Singida
Siku ya uzinduzi hakufika na waumini walipata taarifa yupo Shinyanga Kahama
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida Deborah Magirimba amethibitisha hilo, na kuongezea msanii huyo alikamatwa Juni 1 mchana wilaya ya Ikungi baada ya waumini wa kanisa la AICT Singida kutoa taarifa za kuonekana kwake
Rose Mhando anadaiwa mnamo tarehe 3/11/2016 huko wilayani Singida alipokea shilingi 800,000 kutoka kwa Massawe Japhet kwa makubaliano atatokea kwenye uzinduzi wa kwaya ya ACT Singida lakini hakutokea,
kabla ya tarehe ya kufanyika kwa uzinduzi huo alidai tena 8/11/2016 alipokea 150,000 baada ya kudai nauli ya kutkea Dodoma kwenda Singida
Siku ya uzinduzi hakufika na waumini walipata taarifa yupo Shinyanga Kahama