Hata hivyo tumuombee maskini..Siku hizi ni kawaida yake.
Anapokea pesa za watu zinaishia kwenye sembe
Dah! Shetani anashambulia watumishi wa Mungu kwa kasi ya ajabu. Ona sasa alivyomgalagaza Rose Muhando!
Jesus has become a big business for some!
Dah! Shetani anashambulia watumishi wa Mungu kwa kasi ya ajabu. Ona sasa alivyomgalagaza Rose Muhando!
Mbona nshaisikia hiyo kuwa tayari ameshakamilisha taratibu zote za kuhamia Kenya!sasa sijui alikua ndio anamalizia kazi aloianza Tz kwanza mara aibu ikamkumbaHuyo kwanza alishaachuja (amefulia) na kwa uzoefu wasanii wa bongo wakishaafulia wakienda Kenya anapokelewa kama mfalme , hivyo namshauri aende zake Kenya hapa bongo atakufa njaa,, ila kama hizo tabia zake ataendelea nazo na huko watamtoa berenge