Wanabodi.
Hali ya kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) sasa si swari baada ya baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho, wakiwemo baadhi ya wajumbe wa kamati kuu kushinikiza mbunge wa viti maalum, Rose Kamili asimamishwe au atimuliwe ndani ya chama kwa madai ya utovu wa maadili..
Nawashangaa wanaharakati wanawake ambao wamekuwa wakipiga kelele wakidai ni watetezi wa haki za kibadamu, kwa kimya chao hiki, tangu Rose Kamili afungue shauri lake mahakamani na kuweka wazi haki zake za msingi anazotaka alipwe na mzazi mwenzake hakuna hata mmoja aliyejitokeza ili kumpa msaada wa kisheria wala wa kulaani kitendo cha kuvurugiwa ndoa yake.
Hawa wanaharakati wetu tunawasikia tu pale jambo la kudhalilisha utu wa mwanamke linapotendwa na serikali, lakini linapotendwa na viongozi wa upinzani ambao kimsingi ni viongozi watarajiwa wa serikali, hukaa kimya kana kwamba hakuna jambo la kuudhi lilotokea ndani ya jamii ya Watanzania.
Kesi namba 4 ya mwaka 2012 ambayo iko mbele ya Jaji Lawrence Kaduli, imefunguliwa na Rose Kamili anadai pamoja na mambo mengine kwamba ndoa isifungwe sababu ipo ndoa ingine halali iliyofungwa mwaka 1985.
Acha uongo mkuu.Uongo ni dhambi kubwa mbele za Mungu.Mnatumia kila njia kujaribu kuvuruga CDM lakini naapa hamtafanikiwa.Msidhani watu tunazungumza tu hapana.Wengine tuko jikoni ndani ya chama.
kwa hiyo?
Kesi namba 4 ya mwaka 2012 ambayo iko mbele ya Jaji Lawrence Kaduli, imefunguliwa na Rose Kamili anadai pamoja na mambo mengine kwamba ndoa isifungwe sababu ipo ndoa ingine halali iliyofungwa mwaka 1985.
Wanabodi.
Hali ya kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) sasa si swari baada ya baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho, wakiwemo baadhi ya wajumbe wa kamati kuu kushinikiza mbunge wa viti maalum, Rose Kamili asimamishwe au atimuliwe ndani ya chama kwa madai ya utovu wa maadili..
Nawashangaa wanaharakati wanawake ambao wamekuwa wakipiga kelele wakidai ni watetezi wa haki za kibadamu, kwa kimya chao hiki, tangu Rose Kamili afungue shauri lake mahakamani na kuweka wazi haki zake za msingi anazotaka alipwe na mzazi mwenzake hakuna hata mmoja aliyejitokeza ili kumpa msaada wa kisheria wala wa kulaani kitendo cha kuvurugiwa ndoa yake.
Hawa wanaharakati wetu tunawasikia tu pale jambo la kudhalilisha utu wa mwanamke linapotendwa na serikali, lakini linapotendwa na viongozi wa upinzani ambao kimsingi ni viongozi watarajiwa wa serikali, hukaa kimya kana kwamba hakuna jambo la kuudhi lilotokea ndani ya jamii ya Watanzania.
Duh! kumbe chama chenu cha jikoni? mnnhhh, ndio maaaaana, ahsante kutufahamisha.
Rose kamili ni mke wa Dk. Slaa mbona familia hii inaingiliwa sana au kwa sababu ni watu maarufu .... tumwache mama anadai haki yake
Rudi darasani kajifunze kiswahili,kama mtu mzima hata huelewi kuwa jikoni ni mahali muhimu kunakoandaliwa
vitu muhimu,umepitwa na wakati.
Mwanabodi Ritz japo habari yenyewe inaonekana ya kizushi lakini imenivutia hapo kwenye bold kumbe unalitambua hilo..! Nataka nikukumbushe wakati wa kampeni za urais mwaka 2010 Dr Slaa alipofika Hanang alimpigia debe Rose na Rose aliposimama alimtetea Dr kwa uzushi wa ccm kwamba amepora mke wa mtu na kutelekeza familia yake sasa sijui kwa kesi hii unaitazamaje ukizingatia kauli ya Rose ya wakati huo.. kwa upande wangu yawezekana kuna mkono wa ziada kwenye hili.Wanabodi.
Hali ya kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) sasa si swari baada ya baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho, wakiwemo baadhi ya wajumbe wa kamati kuu kushinikiza mbunge wa viti maalum, Rose Kamili asimamishwe au atimuliwe ndani ya chama kwa madai ya utovu wa maadili..
Nawashangaa wanaharakati wanawake ambao wamekuwa wakipiga kelele wakidai ni watetezi wa haki za kibadamu, kwa kimya chao hiki, tangu Rose Kamili afungue shauri lake mahakamani na kuweka wazi haki zake za msingi anazotaka alipwe na mzazi mwenzake hakuna hata mmoja aliyejitokeza ili kumpa msaada wa kisheria wala wa kulaani kitendo cha kuvurugiwa ndoa yake.
Hawa wanaharakati wetu tunawasikia tu pale jambo la kudhalilisha utu wa mwanamke linapotendwa na serikali, lakini linapotendwa na viongozi wa upinzani ambao kimsingi ni viongozi watarajiwa wa serikali, hukaa kimya kana kwamba hakuna jambo la kuudhi lilotokea ndani ya jamii ya Watanzania.