Room 1 watu 8! Hapa MUST mmechemka

Bora umpewa chumba.Mzumbe ya Morogoro kama hospitali ya temeke
 
Niliwahi kukuta jamaa kalala kitandani kwangu mchana akaamka nikamuuliza babu vipi tena, akaniambia kaka we una kitanda mi kupumzika kupumzika mchana tu una maindi basi nipe kiwe changu mi nikubebe semista nzima!!! Alikuwa ni mshikaji wa mate wao wakisoma UCLAS

Nikacheka sana ila kwa masikitiko basi jamaa akiwa kachoka anakuja na shuka lake pale anapumzika usiku anasoma tu yule msela...baadae akaomba kuweka na begi chini ya kitanda tukawa tunaishi mtu tano rum moja block C pale ye akawa analala kitanda ambacho hakina mtu wote tukiwepo analala ma mshikaji wake!!!!

Leo imebaki stori kama hivi. Dogo akasome maisha ya chuo mapito tu!!!

Daah inatia simanzi,kuna watu wanasoma kwa shida sana
 
Dogo kama anataka kulala aende udom, maana pale room za kumwaga unaweza kuishi peke yako kwenye room......
 
mbeya university of science and technology...nilikuwa nasoma join instruction yao hawa jamaa...nilipofika kwenye mambo ya hostel nikachoka....eti chumba watu 8. jaman ...,kama watoto wa secondary....kumbe ni watu wanaosomea shahada....

kijana ni muhimu ukawa umefanyia utafiti jambo unalotakasema kwa public kabla hujasema.

MUST pana aina mbili za hostels, kuna za zamani(diploma) block 6, na mpya(bachelor), block 8. Lakin hizi za zamani hukaliwa na wanafunzi wa bachelor pia ambao huchelewa kuripot kwani kule block 8 kunakuwa kumejaa.
Nichukue fursa hii kukutoa hofu kuwa vyumba vina ukubwa wa kuweza kukuaccomodate vizuri, vyumba vya block 6 ni vikubwa zaidi. Pia mzunguko wa hewa ndan ya chumba ni mzuri ukizingatia Mbeya ni mkoa wa baridi na upepo kiasi, Na pia hamna habari ya kubebana kama sehemu nyingine, kifupi ishu ya accomodation sio tatizo. Pia kuna nyumba nyingi zipo kuzunguka chuo, gharama yake kwa chumba ni kati ya 20000 had 35000.
Karibu
 
shukuru mungu must tunalalaga 8 kwa room ila kila mtu bed lake ila kuna vyuo wanallala wawil wawil udsm mfano
 
Kwani unaenda kulala au unaenda kusoma? Watu wanapiga block G ( ground, yani wanalala chini) mwaka mzima....we unalalamika rum watu 8.
Me nimeishi rum moja watu tisa na mwaka umeisha....tena mnalala wawili wawili kitanda cha futi 3.

Acha kuendekeza starehe....
 
Daah inatia simanzi,kuna watu wanasoma kwa shida sana

We acha tu mkuu sometimes akija kalewa zake anachukua mito pale chini karibu na kwa warden anaweka juu ya meza za kusomea pale room analala!!! Maana pale rum kulikuwa hamna mtu wa kitungi sasa hilo aliambiwa mapema kabisaaa!!!

Ikifika Ijumaa ananiuliza kwa utani, mwana leo huendi home???!!!
Maana nikienda home ye uhakika bed alone japo siku tatu!!!
 
mbeya university of science and technology...nilikuwa nasoma join instruction yao hawa jamaa...nilipofika kwenye mambo ya hostel nikachoka....eti chumba watu 8. jaman ...,kama watoto wa secondary....kumbe ni watu wanaosomea shahada....

Diploma ndo ipo hivyo mkuu. Degree ni watu wa-nne. Ukifika wakati gombea U-rais pale upewe chumba chako na ofisi kubwaaaa!!!
 
mbeya university of science and technology...nilikuwa nasoma join instruction yao hawa jamaa...nilipofika kwenye mambo ya hostel nikachoka....eti chumba watu 8. jaman ...,kama watoto wa secondary....kumbe ni watu wanaosomea shahada....

Subiri umalize upate na kazi utakaa peke yako jumba Zima!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom