mwekwa ntandu
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,461
- 3,616
Ronda
Mchokozi, mh. Alitaka pawe maarufu. Ila siasa kitu cha ajabu. Mtu umetumika yaani maisha yako yote yet bado hauna uzalendo na nchi?
Muzungu akili kubwa not politicsPenye nia pana njia.
Wenzetu wana utaratibu wao katika mipango miji,hata kama sio nyumba za national housing kila raia anayejenga anapewa conditions kama ni kupaka rangi nyeupe ni wote,kama juu ni kuweka kigae cha rangi ya damu ya mzee ni wote na ndio maana miji yao yapendezaNyumba za National housing ya Spain au?
Na hapo ni uswahilini hujafika ushuani!!!Duuh si mchezo mwanangu.
Mmmmm unaongea na simu au mimi ubongo wangu ndio mzito kuelewa!!???Mchokozi, mh. Alitaka pawe maarufu. Ila siasa kitu cha ajabu. Mtu umetumika yaani maisha yako yote yet bado hauna uzalendo na nchi?
Wanajenga hadi kusikowezekanaJiji limeshona
Lindi kwa Membe mkuu kijiji chake kinaitwa Rondo hahahaha kumbe watu wengi mmeshindwa ku decode hii code ya mleta uziMmmmm unaongea na simu au mimi ubongo wangu ndio mzito kuelewa!!???
Huku ndo kwao,ila sasa ukimkuta bungeni kavaa shuka lake anabwabwaja pointless ahaaaaaaaaaaKwao na job spika ni wapi??
Ahaaaaaaa nimekupata mkuu,kumbe na yeye aliiga jina akataka na muonekano wa kijiji chake uwe hivyo!!!!?? tuna safari ndefu sana.Lindi kwa Membe mkuu kijiji chake kinaitwa Ronda hahahaha kumbe watu wengi mmeshindwa ku decode hii code ya mleta uzi
Na ww umaeona iyo kitu eeh hatariWanajenga hadi kusikowezekana