tungekuwa tunalelewa kama vijana wa Brazil hivi sasa kina zamoyoni, Omari Hussein, Jella, Tino, Gaga, Fumo, Masatu, masha, Nteze na Lunyamila wangekuwa ni vijana matajiri sana wangekuwa na majumba ya kisasa kule mbezzi Beach na magorofa ya Biashara Kariakoo. Lakini bwana wee, Ujamaa na kujitegemea na azimio la Arusha limewakumba vijana wetu na sasa ona hali ya maisha yao ni masikitiko matupu. WEst africa waligundua madhara ya ukomunist au Ujamaa na kujitegemea ndio maaana waliwapindua kina Kwame, , Lumumba, Nguabi, mengishtu,Multara,na vibaraka wote wa Urrusi. sasa hivi wewe angalia baada ya kufa kwa ujamaa na kujitegemea na shetani lake la Azimio la Arusha, ona soka inavyotajilisha vijana wetu! lazima tulaaani sana ujamaa na kujitegemea la sivyo utarudi tena .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.