TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,720
- 10,216
Bike cycle ama Cristiano Ronaldo ana uwezo wa kujipinda angani usawa wa meter 2.3, alifanya hivyo dhidi ya Juventus kwenye fainal ya UEFA.
Ronaldo ana uwezo wa kuganda hewani, amekuwa akifanya hivi mara nyingi huwa anasubiri mpira angani kwa sekunde 1.5, binadamu wa kawaida anauwezo wa kuganda angalau sekunde 0.53, mchezaji wa basketball anakaa hewani kwa sekunde 0.93.
Wasayansi walimfanyia majaribio wakagundua Ronaldo ana uwezo wa kufunga goli kwenye giza,
hiki kitendo kinaitwa subconcious yani Ronaldo ana uwezo wa kufunga goli bila kuangalia mpira ulipo wala kufikiri.
Now you know!