Ronaldo atimiza magoli 700

BUSARA ZANGU

JF-Expert Member
May 5, 2013
779
1,267
Siku ya jana Ronaldo, The Greates Football Player of all times amefunga goli la 700 katika maisha yake ya soka. Idadi hiyo ya magoli inajumuisha magoli ya mechi alizocheza kwa ngazi ya klabu na timu yake ya taifa.

Mchezaji huyo bora mara 5 wa Dunia amezidi kudhihirisha kuwa ni mchezaji bora aliyewahi kutokea katika sayari hii (Pele nisamehe sababu ni ngumu kulinganisha ulimwengu wenu wa soka na huu wa sasa)

Mbali na mafanikio yake katika ngazi ya klabu ambako amebeba vikombe mbalimbali akiwa Manchester United, Real Madrid na sasa Juventus, Ronaldo maarufu kama CR7 amethibitisha kuwa ni mchezaji ambaye anaweza kupata mafanikio kisoka katika ligi yoyote kubwa duniani na katika soka la ngazi ya klabu au timu ya taifa.

Kiwango cha Ronaldo kinazidi kumuweka mbali kimafanikio yeye na mpinzani wake wa karibu Lionel Messi
 
Kipa katoka
Screenshot_20191015-092106_Instagram~2.jpeg
 
Messi atarudisha hayo magoli ndani ya misimu miwili au tatu kabla huyo babu hajastaafu
 
Unaweza kusema takwimu za goal per match zinambeba Messi

Lakini je, kucheza mechi nyingi katika kiwango cha juu, hiyo pekee sio sifa ya ziada? Je Messi anaweza kucheza kwa kiwango cha Dunia atakapokuwa ana miaka 34 kama anavyofanya mnyama CR700 kwa sasa?

Hilo swali la juu wote hatuwezi kulijibu, kwa kuwa sisi sio wapiga ramli, Hivyo Messi anaweza asifikishe hata hayo 680,kwa kuwa bado hajafikisha.

Messi kuwa na magoli mengi kwa sehemu kubwa amebebwa na probably the best ever group of players ambao Messi amecheza nao pale Barca....... Xavier, Iniesta, Bosquet, Puyol, Ronaldinho & Co.

Je Ronaldo angekuwa kwenye set up ya Barca ile angefunga magoli mangapi? Je Messi angekuwa kwenye set up ya Madrid angeweza hata kufikisha nusu ya magoli ya CR7? Wote ni mashahidi, tunaona anapotoka nje ya Barca (National team) anavyo struggle kuwapa makombe
 
Watakaokuelewa hapa ni wachache
Unaweza kusema takwimu za goal per match zinambeba Messi

Lakini je, kucheza mechi nyingi katika kiwango cha juu, hiyo pekee sio sifa ya ziada? Je Messi anaweza kucheza kwa kiwango cha Dunia atakapokuwa ana miaka 34 kama anavyofanya mnyama CR700 kwa sasa?

Hilo swali la juu wote hatuwezi kulijibu, kwa kuwa sisi sio wapiga ramli, Hivyo Messi anaweza asifikishe hata hayo 680,kwa kuwa bado hajafikisha.

Messi kuwa na magoli mengi kwa sehemu kubwa amebebwa na probably the best ever group of players ambao Messi amecheza nao pale Barca....... Xavier, Iniesta, Bosquet, Puyol, Ronaldinho & Co.

Je Ronaldo angekuwa kwenye set up ya Barca ile angefunga magoli mangapi? Je Messi angekuwa kwenye set up ya Madrid angeweza hata kufikisha nusu ya magoli ya CR7? Wote ni mashahidi, tunaona anapotoka nje ya Barca (National team) anavyo struggle kuwapa makombe
 
Kitu pekee Messi anachomshinda Ronaldo ni his dribbling style (ni ya kipekee)

Vitu vingine vyote vilivyobaki, mnyama CR700 amemzidi
 
Unaweza kusema takwimu za goal per match zinambeba Messi

Lakini je, kucheza mechi nyingi katika kiwango cha juu, hiyo pekee sio sifa ya ziada? Je Messi anaweza kucheza kwa kiwango cha Dunia atakapokuwa ana miaka 34 kama anavyofanya mnyama CR700 kwa sasa?

Hilo swali la juu wote hatuwezi kulijibu, kwa kuwa sisi sio wapiga ramli, Hivyo Messi anaweza asifikishe hata hayo 680,kwa kuwa bado hajafikisha.

Messi kuwa na magoli mengi kwa sehemu kubwa amebebwa na probably the best ever group of players ambao Messi amecheza nao pale Barca....... Xavier, Iniesta, Bosquet, Puyol, Ronaldinho & Co.

Je Ronaldo angekuwa kwenye set up ya Barca ile angefunga magoli mangapi? Je Messi angekuwa kwenye set up ya Madrid angeweza hata kufikisha nusu ya magoli ya CR7? Wote ni mashahidi, tunaona anapotoka nje ya Barca (National team) anavyo struggle kuwapa makombe
Jibu lakp lipo comment #11 messi anafunga na kutoa pass nyingi data hizo hapo. We unaongea mawazo yakp kama story za kijiweni unataka kutufikirisha kama unavyofikiri wewe.

Zipo clip hata youtube wachrzajo wenzake madrid walivyokuwa wanacbukia anavyominya pass za wazi kabisa.

Ndio maana Edson Arantes Dos Nascimento Pele anaitwa King wa Dunia kw kabumbu toka wengine hawajazaliwa mpaka leo sio kwa kufunga tu ni pamoja na team work.

Cr anaweza kuwa mfungaji bora ni uchoyo una haribu CV. Naona hata Salah ameanza uchoyo wa pass kama Cr.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom