Messi bado ni mchezaji mzuri sana

Kinumbo

JF-Expert Member
Dec 8, 2019
2,742
4,932
Mchezaji wa klabu ya Inter Miami ya Marekani amezidi kuudhirishia ulimwengu kuwa yeye bado ni mchezaji bora zaidi. Messi mpaka sasa amecheza michezo mitatu na amefunga magoli 5 pamoja na assist 1 yaani amehusika katika magoli 6 katika michezo 3 pekee wastani wa magoli 2 kila mchezo. Na bado anaendelea kukiwasha kila uchwao.

Binafsi naona Messi hakufaa kwenda Marekani kiwango chake bado kinamruhusu kuendelea kucheza katika bara la Ulaya, ilikuwa ni mapema sana kwenda huko.
 
FB_IMG_16910957702875151.jpg
 
Huyu Messi nilitamani sana siku moja kumwona akicheza EPL, kama ni mpunga tu watu waliweka mezani wa kutosha. Nilijiuliza sijui nini kilitokea, nilibaki na jibu moja tu, huenda hakuwa na mapenzi ya kucheza EPL au labda kuwa na ile fear ya jina lake kufunikwa au kupotea ghafla kulingana na nature ya ligi hiyo kinachopelekea yeye ku opt kwenda ligi nyepesi nyepesi.
 
Huyu Messi nilitamani sana siku moja kumwona akicheza EPL, kama ni mpunga tu watu waliweka mezani wa kutosha. Nilijiuliza sijui nini kilitokea, nilibaki na jibu moja tu, huenda hakuwa na mapenzi ya kucheza EPL au labda kuwa na ile fear ya jina lake kufunikwa au kupotea ghafla kulingana na nature ya ligi hiyo kinachopelekea yeye ku opt kwenda ligi nyepesi nyepesi.
Maamuzi mengine tuseme ni personal tuu.. messi hawezi kuogopa EPL, kwani kuna beki au kiungo wa EPL hajateswa na messi?
 
Huyu Messi nilitamani sana siku moja kumwona akicheza EPL, kama ni mpunga tu watu waliweka mezani wa kutosha. Nilijiuliza sijui nini kilitokea, nilibaki na jibu moja tu, huenda hakuwa na mapenzi ya kucheza EPL au labda kuwa na ile fear ya jina lake kufunikwa au kupotea ghafla kulingana na nature ya ligi hiyo kinachopelekea yeye ku opt kwenda ligi nyepesi nyepesi.
Lakini tukumbuke pia Messi amezifunga timu zote kubwa za EPL alizokutana nazo

Man united
Chelsea
Man city
Liverpool
Arsenal

Na zote amewahi kuzifunga siyo chini ya goli mbili...sasa hii inadhihirisha hata angecheza EPL bado angewafunga tuu kama timu kubwa hizi kazifunga basi hao kina newcastle, everton na Westham angezifunga tuu...
 
Lakini tukumbuke pia Messi amezifunga timu zote kubwa za EPL alizokutana nazo

Man united
Chelsea
Man city
Liverpool
Arsenal

Na zote amewahi kuzifunga siyo chini ya goli mbili...sasa hii inadhihirisha hata angecheza EPL bado angewafunga tuu kama timu kubwa hizi kazifunga basi hao kina newcastle, everton na Westham angezifunga tuu...
Ongeza na Spurs hapo.
 
Maamuzi mengine tuseme ni personal tuu.. messi hawezi kuogopa EPL, kwani kuna beki au kiungo wa EPL hajateswa na messi?

Lakini tukumbuke pia Messi amezifunga timu zote kubwa za EPL alizokutana nazo

Man united
Chelsea
Man city
Liverpool
Arsenal

Na zote amewahi kuzifunga siyo chini ya goli mbili...sasa hii inadhihirisha hata angecheza EPL bado angewafunga tuu kama timu kubwa hizi kazifunga basi hao kina newcastle, everton na Westham angezifunga tuu...
Basi nahitimisha hakuwa na mapenzi ya kucheza EPL, so it was just personal lakini kuzifunga timu za EPL bado haitoshi kuwa ndiyo utetezi wake.
 
Mchezaji wa klabu ya Inter Miami ya Marekani amezidi kuudhirishia ulimwengu kuwa yeye bado ni mchezaji bora zaidi. Messi mpaka sasa amecheza michezo mitatu na amefunga magoli 5 pamoja na assist 1 yaani amehusika katika magoli 6 katika michezo 3 pekee wastani wa magoli 2 kila mchezo. Na bado anaendelea kukiwasha kila uchwao.

Binafsi naona Messi hakufaa kwenda Marekani kiwango chake bado kinamruhusu kuendelea kucheza katika bara la Ulaya, ilikuwa ni mapema sana kwenda huko.
Kwa sasa Ulaya hakuna soka.Wamebaki wavunja kuni,talent zinakimbilia Uarabuni na Marekani kupiga mpunga.
 
Huyu Messi nilitamani sana siku moja kumwona akicheza EPL, kama ni mpunga tu watu waliweka mezani wa kutosha. Nilijiuliza sijui nini kilitokea, nilibaki na jibu moja tu, huenda hakuwa na mapenzi ya kucheza EPL au labda kuwa na ile fear ya jina lake kufunikwa au kupotea ghafla kulingana na nature ya ligi hiyo kinachopelekea yeye ku opt kwenda ligi nyepesi nyepesi.
EPL ni ligi ya mguu wa shingo mguu wa roho. Ni ngumu kwa mchezaji bora kucheza kwa muda mrefu kwani kwa msimu ni nadra mchezaji kumaliza ligi bila majeruhi. Otherwise mchezaji acheza akiwa kijana 18-22yrs. Baada ya hapo kimbilia ligi za Spain,Italy au Ufarasa. Neymar angekuwa EPL sizani km angekuwa bado anacheza hadi leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom