Rombo: Mwili wa Kijana Godwin Massawe wakutwa msituni ukiwa hautoi harufu. Wakutwa ukiwa na Rozari na Biblia

*Nachoona hapa,Godwin alikua na tatizo la akili. Watu wa karibu naye walipigwa upofu na msimamo wake wa imani hivyo wakashindwa kumpa msaada wa kitaalam wa kisaikolojia. Naamini kwamba wanajamii tulishindwa kuwajibika kumsaidia Godwin hivyo tunapaswa kulaumiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni muujiza bana
 
Ukonl sahihi mwili wake hauwezi nuka sababu uko eneo la baridi Kali ni kama ulikuwa kwenye freezer kutonuka sio muujiza huo
Kweli mkuu. Wanasahau kwamba kunuka ni kiendo cha kuwa na actve bacteria kwenye mwili wakiula, na kukiwa na baridi hao bactetia wanakuwa inactive.
 
Imani ndio msingi wa dini, pia imani ndio kitu chenye nguvu kuliko vingine vyote duniani
Mm naamini dogo aliishi alichokiamini na akafa akiamini ivo ivo...

Apumzike kwa amani mrombo mwenzangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu na wale ambao maisha yao yote ni kutafuta hela tu yani hawana hata muda wa kuzitumia hizo hela wanazozitafuta,kwangu mimi hawa wote naona wana tatizo moja.
 
tatizo la wumini wengi wa kanisa ni kusifu kulikopitiliza, yaani mtu unampa sifa hadi unakufuru. hii ni athari ya uzungu maana ndio mwenye tabia hii, kwa mzungu ukifanya kitu kizuri atakupa sifa za bwana, unabii, ufalme, utume hata uungu.
je kuna uhusiano wa rozary, bible na kutooza kwake, ni kichaa pekeee anaeweza kuamini kuwa ukifa huku umeshika amterial hayo huozi never.
mungu katuumba ili TUMUABUDU je kuabudu ni nini?, jibu ni kufanya ibada.
kila lililokatazwa ukaliacha, ukafanya lilolazimishwa kwetu hii ndio ibada yenyewe. kazi ni ibada lazima ufanye kazi, uzazi ni ibada.
 
Hapa kuna shida kidogo kwenye simulizi, mtu kaoza,kabaki mifupa,lakini, kashika kitabu kimefunuliwa na ana nguo zake.

Au ndo miujiza hiyo?
.......Mara Kaoza halafu kapiga magoti halafu amevaa rozari na nguo zake,mara alikuwa amefungua kitabu cha SIRA mara cha JOSHUA.......mchaganyiko huu kiboko
 
Mimi naomba kujua hicho kitabu cha SIRA ndiyo kipi? Kipo kwenye Biblia ipi, agano la kale au agano jipya?
Sijawahi sikia wala kukiona kabisa aina hii ya kitabu, naomba kueleweshwa tafadhali kwa mwenye ufahamu na kitabu hiki.
Waziri wa Kaskazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…