Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 10,414
- 18,438
Baba mmoja ajulikanae Kwa jina la Edward mwenye umri mwenye umri wa miaka 66 anashikiliwa na jeshi la polisi wilayani Rombo kwa kosa la kumuua mtoto wake wa kiume Kwa shoka na Kisha kuchimba shimo na kumzika mwenyewe usiku.
Hali ya Taaharuki imeikumba Kijiji Cha Kilema katika kata ya Olele,tarafa ya mashati wilayani Rombo baada ya baba Mmoja ajulikanae Kwa jina la Edward kumuua mwanae wa kumzaa ajulikanae Kwa jina la Oscar mwenye umri wa miaka 40.
Hali inayooendelea muda huu kijijini hapa ni kuwa polisi wanafukua shimo alilofukiwa kijana huyo wakati Baba mzazi akiwa tayari kituo Cha polisi Kwa ajili ya Taratibu nyingine.
Hali jinsi ilivokuwa Hadi kujulikana....
Jana jioni Mzee Edward akiwa kwenye pombe baada ya pombe kumkolea ndipo alipomueleza mama mmoja ambae alikuwa anakunywa nae pombe hapo kilabuni. Ndipo mama huyo alipoita watu na kuwaelezea na Kisha watu hao kumuhoji Baba huyo na ndipo walipopiga simu polisi.
Majirani wanasema kuwa Baba huyo alikuwa akiishi yeye na mwanae huyo ambae Sasa ni marehemu na kwamba Mke wa Mzee Edward alishafariki siku nyingi.
Hali ya Taaharuki imeikumba Kijiji Cha Kilema katika kata ya Olele,tarafa ya mashati wilayani Rombo baada ya baba Mmoja ajulikanae Kwa jina la Edward kumuua mwanae wa kumzaa ajulikanae Kwa jina la Oscar mwenye umri wa miaka 40.
Hali inayooendelea muda huu kijijini hapa ni kuwa polisi wanafukua shimo alilofukiwa kijana huyo wakati Baba mzazi akiwa tayari kituo Cha polisi Kwa ajili ya Taratibu nyingine.
Hali jinsi ilivokuwa Hadi kujulikana....
Jana jioni Mzee Edward akiwa kwenye pombe baada ya pombe kumkolea ndipo alipomueleza mama mmoja ambae alikuwa anakunywa nae pombe hapo kilabuni. Ndipo mama huyo alipoita watu na kuwaelezea na Kisha watu hao kumuhoji Baba huyo na ndipo walipopiga simu polisi.
Majirani wanasema kuwa Baba huyo alikuwa akiishi yeye na mwanae huyo ambae Sasa ni marehemu na kwamba Mke wa Mzee Edward alishafariki siku nyingi.